Ambivert88
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 3,609
- 6,388
Wa kufanana nae ndio huyo anaegongwa nje miezi 7 sijachoviya ningeanzisha timbwili tatizo vijana wanaoa mijamke iliyowazidi umri inaowaona km watoto mwanamke hakikisha umemzidi umri wa kutosha gepu liwe hata miaka 10 angalau sasa hii ya kupishana miaka 2/3 ni mbaya mnaonana wote mna mamlaka wote wakubwa hakuna wa kumsikiliza mwenzieHujapata wa kufanana nae, vunja hiyo ndoa na huyo sio chaguo sahihi!
Mimi namzidi zaidi ya miaka 11 but still anasumbua kingese ila najua jinsi ya kumtuliza simpi anachotaka akitaka anarudi kwenye mstari watoto inabidi wawahi shule usiwacheleweshe watoto shule
Huyo umekosea sana miaka 4 ilibidi tayari awe na injini 4 zinazomsumbua sumbua huyu kanya pale huyu kakojoa huyu anataka uji huyu anabomoa remote yule kaangusha TV yule kakojolea makochi yule pale kabamizana wenzie huko nje kaumizwa yule kaangukiwa na meza yule kaoga rangi yaan inabidi usumbufu usumbufu wa watoto uwe mwingi mwingi halafu kidume ukija unaweka mambo sawa lazima akutazame usoni