Nipeni ushauri: Mke wangu ameninunia kwa miezi saba sasa. Navumilia tu hata sijui mwisho wake

Nipeni ushauri: Mke wangu ameninunia kwa miezi saba sasa. Navumilia tu hata sijui mwisho wake

Nimeoa Ndoa ya Kikristo ndoa ina miaka 4 na nina mtoto mmoja tumejenga ila mke wangu ameninunia now miez 7 navumilia tu hata sijui mwisho wake.

Anasema hanipendi, upendo umeisha kwangu. Sababu kuna makosa nayarudia mara kwa mara kwamba anaona kama simpendi ,na makosa mengine ya zaman hata kabla hatujaoana .

Nimembembeleza nimejaribu kuitishana vikao na wazee amekubal ila sasa amekubali ilimradi kuwaridhisha wazee, maana baada ya hapo anasema kama tunaishi ili watu waone sawa.

So no sex no talking tunaposhana kama mangombe. kuachana nae nahofia mwanangu na mali tulizotafuta kwa pamoja

Nahofia tukiachana kila kitu kitasambaratika na watoto wataanza pata tabu mana mali ndio hadhina ya watoto. am stuck
Miezi saba umenuniwa halafu bado unasema mke wangu!! We jamaa wewe!
 
Na kabla ya kutoa talaka ujipange bro, usije pata hasara. Lazima huwe timamu upstairs.
 
Tafuta suluhisho mapema iwe ni mpatane au uhame hapo ukatafute amani sehemu nyingine hapo uwe unakuja kusalimia familia na kutoa mahitaji.....haya mambo huanza kimzaha mwishowe hukomaa .... binafsi Nina mwaka wa nane Sasa kila mtu alala chumba chake Kwa mambo hayo hayo....Sasa hayazungumziki tena yeye ana jiona ana haki ya kua hivyo na Mimi pia najihisi kuonewa!talaka hataki kutoa Kwa kua tumechuma Mali pamoja....Mimi ni mwanamke kila nikidai talaka anasema sijagombana na wewe!.....haya yasikie tuu omba yasikukute
Mwanamke aliye kosa busara na hekima huwa hivyo! Huwezi taka kushindana na mtu aliye pewa nguvu ya mamlaka tangia kuumbwa kwake, hamuhitaji suluhu ninyi
 
Ndoa ndoano
Halafu mbona kama umejiunga Jana? [emoji849] Au ndo nyie mnaobadili ID
 
Kuna mtu anampa kiburi huyo wanawake hawapogi hivyo kama yupo serious na mahusiano hizo issue ndogo ndogo atazipotezea na atafocus na mahusiano.

Ukiona ameanza Drama za kipuuzi kama hizo huyo ni mawili anajiandaa kutafuta mtu mwingine yaani mpango mwingine wa maisha anakuona wewe kama ni changamoto au tayari ana mtu anakutafutia timing ili mzinguane ili muachane.

Mpe anachokitaka. Unabembeleza nini na wanawake wapo kibao huko nje wanaitafuta ndoa kwa mwaposa na kwa waganga wa kienyeji?

Mwambie tu mama naomba nisikunyime amani. Haya maisha hatujaja kuteseka,hebu tupeane uhuru wa kuishi tunavyotaka. Kwanini tugombane wakati maisha ni maelewano. Mpe kama ni talaka ajue pa kuanzia mpango wake. Baki na watoto uendelee na life bila usumbufu.
 
Usaliti uwa ni mbaya sanaa watu hatujui tu...
Juzi kati alinipigia baba angu mdogo ambaye ni mstaafu wa mwaka jana mwezi wa 7

Dingi akawa ananieleza changamoto za mama angu Kua wanaishi hovyo sanaa na huu ni mwaka wa pili hakuna Ata sex na mama yupo tayar Ata aondoke ila sio swala la kusex wala kutoa huduma kama mke
Back then uyu dingi kipind yupo kwenye ubora wake alikua ni kicheche balaa ana watoto wawil nje tunao wajua ila kuna uwezekano kuwepo wengine, dharau na pesa yake haijulikani ilikua inaishia wap ya mshahara na mikopo yake mana mpk anastaafu ana nyumba moja tu ambayo ilianza kujengwa toka mwanzon mwa 2000s huko ulongoni gongolamboto watoto wala hakusomesha vizur yaan mambo hovyo hovyo tu..

Kilichokuja kumuumiza huyu mama ni kusikia jamaa kazaa nje na mwanamke kajengewa nyumba aisee hii 2018 hiv toka hapo huyo mama yupo yupo tu haelew kabisa

Ndugu nimekupa hii story kama somo ama casy study kama ugomvi unatokana na usaliti aisee una kazi ya ziada sanaa kurudisha hisia za huyo mwenza wako yaan jenga ukaribu sanaa na mfanyie hata vitu vikubwa kuliko uwezo wako Amani irudi mana unaweza Ata pewa sumu mzee...

Ebu imagine mimi nipo kwenye 30s mzee wA miaka 60 ananieleza mambo mazito kama haya kwa kutafuta sulushen toka kwangu
Ukioa na kua na familia utakuja kumuelewa Mzee kwa nini alikua na kimada nje.
 
Matatizo mengi ya wanawake - wanaume tunakuwa hatuhusiki - wale viunge wako complicated kuliko unavyofikiri - kuna asilimia kubwa tatizo wala sio wewe - sasa pale unapoanza kujihisi na kuanza kutafuta makosa yako ya zamani na kuyaombea msamaha ni kama unampa nafasi ya kuficha kinachomsumbua - unampa sababu ya kuteseka matatizo yake na wewe.
Ndugu usichokonoe makosa ya nyuma, wewe usimjali, piga kimya, usibadirike kitabia- rudi nyumbani muda uliomziesha- endelea na issuea as if nothing will happen - Hakuna kuhama nyumba - acha mazingira yeye ndo awe chanzo ya mstakabali wa ndoa yenu.Hayo mambo ya vikao ndo unazidi kuchochea moto na kujionesha ulivyo desperate.
 
Ukioa na kua na familia utakuja kumuelewa Mzee kwa nini alikua na kimada nje.
Kwa mzee ilikua too much aisee uyo mama anyofanya yupo sawa kabisa sasa amestafu si aende huko huko kwa vimada wake sasa mama ndo awe bize kuuguza presha na tezi dume za mtu mkuu wakati enz za nguvu hakuna la maana alilofanyia familia
 
Kuna mtu anampa kiburi huyo wanawake hawapogi hivyo kama yupo serious na mahusiano hizo issue ndogo ndogo atazipotezea na atafocus na mahusiano.

Ukiona ameanza Drama za kipuuzi kama hizo huyo ni mawili anajiandaa kutafuta mtu mwingine yaani mpango mwingine wa maisha anakuona wewe kama ni changamoto au tayari ana mtu anakutafutia timing ili mzinguane ili muachane.

Mpe anachokitaka. Unabembeleza nini na wanawake wapo kibao huko nje wanaitafuta ndoa kwa mwaposa na kwa waganga wa kienyeji?

Mwambie tu mama naomba nisikunyime amani. Haya maisha hatujaja kuteseka,hebu tupeane uhuru wa kuishi tunavyotaka. Kwanini tugombane wakati maisha ni maelewano. Mpe kama ni talaka ajue pa kuanzia mpango wake. Baki na watoto uendelee na life bila usumbufu.
Mkuu umeoa?
 
Matatizo mengi ya wanawake - wanaume tunakuwa hatuhusiki - wale viunge wako complicated kuliko unavyofikiri - kuna asilimia kubwa tatizo wala sio wewe - sasa pale unapoanza kujihisi na kuanza kutafuta makosa yako ya zamani na kuyaombea msamaha ni kama unampa nafasi ya kuficha kinachomsumbua - unampa sababu ya kuteseka matatizo yake na wewe.
Ndugu usichokonoe makosa ya nyuma, wewe usimjali, piga kimya, usibadirike kitabia- rudi nyumbani muda uliomziesha- endelea na issuea as if nothing will happen - Hakuna kuhama nyumba - acha mazingira yeye ndo awe chanzo ya mstakabali wa ndoa yenu.Hayo mambo ya vikao ndo unazidi kuchochea moto na kujionesha ulivyo desperate.
Pengine kagombana na bwana wake wa nje huko hahaha
 
  • Kicheko
Reactions: M45
Nimeoa Ndoa ya Kikristo ndoa ina miaka 4 na nina mtoto mmoja tumejenga ila mke wangu ameninunia now miez 7 navumilia tu hata sijui mwisho wake.

Anasema hanipendi, upendo umeisha kwangu. Sababu kuna makosa nayarudia mara kwa mara kwamba anaona kama simpendi ,na makosa mengine ya zaman hata kabla hatujaoana .

Nimembembeleza nimejaribu kuitishana vikao na wazee amekubal ila sasa amekubali ilimradi kuwaridhisha wazee, maana baada ya hapo anasema kama tunaishi ili watu waone sawa.

So no sex no talking tunaposhana kama mangombe. kuachana nae nahofia mwanangu na mali tulizotafuta kwa pamoja

Nahofia tukiachana kila kitu kitasambaratika na watoto wataanza pata tabu mana mali ndio hadhina ya watoto. am stuck
Hujapata wa kufanana nae, vunja hiyo ndoa na huyo sio chaguo sahihi!
 
Nimeoa Ndoa ya Kikristo ndoa ina miaka 4 na nina mtoto mmoja tumejenga ila mke wangu ameninunia now miez 7 navumilia tu hata sijui mwisho wake.

Anasema hanipendi, upendo umeisha kwangu. Sababu kuna makosa nayarudia mara kwa mara kwamba anaona kama simpendi ,na makosa mengine ya zaman hata kabla hatujaoana .

Nimembembeleza nimejaribu kuitishana vikao na wazee amekubal ila sasa amekubali ilimradi kuwaridhisha wazee, maana baada ya hapo anasema kama tunaishi ili watu waone sawa.

So no sex no talking tunaposhana kama mangombe. kuachana nae nahofia mwanangu na mali tulizotafuta kwa pamoja

Nahofia tukiachana kila kitu kitasambaratika na watoto wataanza pata tabu mana mali ndio hadhina ya watoto. am stuck
Hivi ikitokea ukambaka mkeo anaweza kwenda kukushtaki mahakamani??

au kila siku mletee ukatuni katuni na ucheshi wa kumtania tania mpaka gubu limuishe...!!!
 
Ndoa ni tukio la khiyari ya watu wawili kukubaliana kuishi na sio shuruti.......

Ndoa isiyotokana na khiyari ya wahusika inageuka kuwa gereza la mateso badala ya kuwa muunganiko wa furaha.......

Kila mwanadamu ana ukomo wa uvumilivu ikiwa kinachomfanya avulimie bado hakijapatiwa ufumbuzi.....

Ukomo wa uvumilivu unaweza kuja na madhara kama vile vidonda vya tumbo, kisukari na presha kutokana na msongo wa mawazo unaouita uvumilivu.......

Kama ndoa imeshindikana ni kheri mkatengana ili Amani iendelee kuwepo kati yenu mkiwa tunza watoto mkiwa mbali mbali.... wewe sio wa kwanza na hutakuwa wa mwisho....

Kipi bora kwako....ufe kwa presha na msongo wa au uendelee kuishi umhudumie mwanao.....
 
Kwa mzee ilikua too much aisee uyo mama anyofanya yupo sawa kabisa sasa amestafu si aende huko huko kwa vimada wake sasa mama ndo awe bize kuuguza presha na tezi dume za mtu mkuu wakati enz za nguvu hakuna la maana alilofanyia familia
Wewe ni mwanaume utakuja kuelewa mbeleni, mwanzoni nilikuaga najua Mzee wangu ni mzinguaji lakini nimekuja kumuelewa sasa kwa nini alikua anafanya anayofanya. Wanawake ni nuksi, unaweza ishi nae ndani anakuambia maneno ya ajabu hata ukimuona ukawa husimamishi.


Wanawake ni viumbee wa ajabu sana ingawa ndio mama zetu, dada zetu lakini akiwa mkeo au mpenzio basi huwa wanakua na akili mbovu sana.
 
Back
Top Bottom