WARRIOR 90
Member
- Jan 14, 2012
- 65
- 69
Ambaye hapewi sex ni wewe simp ila yeye anapata nje kama kawaida. Unauwakika hata uyo mtoto ni wako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushauri bora kabisa, nakubaliana na wewe.Matatizo mengi ya wanawake - wanaume tunakuwa hatuhusiki - wale viunge wako complicated kuliko unavyofikiri - kuna asilimia kubwa tatizo wala sio wewe - sasa pale unapoanza kujihisi na kuanza kutafuta makosa yako ya zamani na kuyaombea msamaha ni kama unampa nafasi ya kuficha kinachomsumbua - unampa sababu ya kuteseka matatizo yake na wewe.
Ndugu usichokonoe makosa ya nyuma, wewe usimjali, piga kimya, usibadirike kitabia- rudi nyumbani muda uliomziesha- endelea na issuea as if nothing will happen - Hakuna kuhama nyumba - acha mazingira yeye ndo awe chanzo ya mstakabali wa ndoa yenu.Hayo mambo ya vikao ndo unazidi kuchochea moto na kujionesha ulivyo desperate.
Huu uzi una majibu yote.Usaliti uwa ni mbaya sanaa watu hatujui tu...
Juzi kati alinipigia baba angu mdogo ambaye ni mstaafu wa mwaka jana mwezi wa 7
Dingi akawa ananieleza changamoto za mama angu Kua wanaishi hovyo sanaa na huu ni mwaka wa pili hakuna Ata sex na mama yupo tayar Ata aondoke ila sio swala la kusex wala kutoa huduma kama mke
Back then uyu dingi kipind yupo kwenye ubora wake alikua ni kicheche balaa ana watoto wawil nje tunao wajua ila kuna uwezekano kuwepo wengine, dharau na pesa yake haijulikani ilikua inaishia wap ya mshahara na mikopo yake mana mpk anastaafu ana nyumba moja tu ambayo ilianza kujengwa toka mwanzon mwa 2000s huko ulongoni gongolamboto watoto wala hakusomesha vizur yaan mambo hovyo hovyo tu..
Kilichokuja kumuumiza huyu mama ni kusikia jamaa kazaa nje na mwanamke kajengewa nyumba aisee hii 2018 hiv toka hapo huyo mama yupo yupo tu haelew kabisa
Ndugu nimekupa hii story kama somo ama casy study kama ugomvi unatokana na usaliti aisee una kazi ya ziada sanaa kurudisha hisia za huyo mwenza wako yaan jenga ukaribu sanaa na mfanyie hata vitu vikubwa kuliko uwezo wako Amani irudi mana unaweza Ata pewa sumu mzee...
Ebu imagine mimi nipo kwenye 30s mzee wA miaka 60 ananieleza mambo mazito kama haya kwa kutafuta sulushen toka kwangu
Kuna kitu hapa umeficha hakipo sawa. Mwanamke kufika hiyo stage umefanya jambo baya ambalo wewe mwenyewe uwezi kuliweka hapa. Jua tu mwanamke ni tofauti na mwanaume akisema hivo ujue anasema kweli kwaiyo kama unampenda na umemkosea kweli muombe msamaha taratibu. Na hadi hapo huyo msichana ni mtu huru pengine anafanya kazi kwaiyo anaweza move forward bila wewe.Nimeoa Ndoa ya Kikristo ndoa ina miaka 4 na nina mtoto mmoja tumejenga ila mke wangu ameninunia now miez 7 navumilia tu hata sijui mwisho wake.
Anasema hanipendi, upendo umeisha kwangu. Sababu kuna makosa nayarudia mara kwa mara kwamba anaona kama simpendi ,na makosa mengine ya zaman hata kabla hatujaoana .
Nimembembeleza nimejaribu kuitishana vikao na wazee amekubal ila sasa amekubali ilimradi kuwaridhisha wazee, maana baada ya hapo anasema kama tunaishi ili watu waone sawa.
So no sex no talking tunapishana kama mang'ombe. Kuachana nae nahofia mwanangu na mali tulizotafuta kwa pamoja
Nahofia tukiachana kila kitu kitasambaratika na watoto wataanza pata tabu mana mali ndio hadhina ya watoto. am stuck
Duh watu muna uzungu mwingi! Yaani kala gundi miezi saba na bado upate nguvu ya kumtoa mahali ili akayaseme ya moyoni.Badilisha maisha nae.. Anza kuanza kumwambia muende likizo nyie wawili sehemu.. Nchini kuna vivutio vingi pa kutulia.. Ili aje aseme yote uongee akili hapo.. Sehemu ya kula kulala tu kila baada ya muda kidogo uone itakuwaje..
Ikigoma kubadili hata kidunchu.. basi imetoka hiyooo kweli kweli
Umesema ndani mnapishana tu Kama Mang'ombe I'm trying to remind you "Hata Mang'ombe huwa hayapishani bila kusex so nyie ni zaidi ya Mang'ombe". Mwache Huyo Binti.Nimeoa Ndoa ya Kikristo ndoa ina miaka 4 na nina mtoto mmoja tumejenga ila mke wangu ameninunia now miez 7 navumilia tu hata sijui mwisho wake.
Anasema hanipendi, upendo umeisha kwangu. Sababu kuna makosa nayarudia mara kwa mara kwamba anaona kama simpendi ,na makosa mengine ya zaman hata kabla hatujaoana .
Nimembembeleza nimejaribu kuitishana vikao na wazee amekubal ila sasa amekubali ilimradi kuwaridhisha wazee, maana baada ya hapo anasema kama tunaishi ili watu waone sawa.
So no sex no talking tunaposhana kama mangombe. kuachana nae nahofia mwanangu na mali tulizotafuta kwa pamoja
Nahofia tukiachana kila kitu kitasambaratika na watoto wataanza pata tabu mana mali ndio hadhina ya watoto. am stuck
😁😁kapumbavu!Miezi 7,huyo mwanamke ni kiboko
Wangu nae huwa ananuna sana na kukumbuka ya mbali na kulia lia sana,nikiona kamaliza siku mbili huwa nageuka nakuwa mr. Bean au charlie chaplin,nikiona bado kanuna nampiga kitombo cha kumshtukiza afu kitamu,baada ya hapo tunaanza kuongea kama zaman
Hili jamaa litakuwa limemwumiza sana! Na ukweli ni kwamba hawa wanawake hata kutoka nje ya ndoa chanzo huwa ni sisi wanaume mandezi! Unamwumiza miaka yote amekuvumilia tu mwisho wa siku anakata tamaa! Hili jamaa lingeyasema yote hayo linayoyaficha watu mngelia hapa kwa kumhurumia huyo binti!Umesema ndani mnapishana tu Kama Mang'ombe I'm trying to remind you "Hata Mang'ombe huwa hayapishani bila kusex so nyie ni zaidi ya Mang'ombe". Mwache Huyo Binti.
Sipati picha jinsi hilo bull na hilo cow yanavyopishana hapo ndani! Najaribu kuwaza sipati picha!Umesema ndani mnapishana tu Kama Mang'ombe I'm trying to remind you "Hata Mang'ombe huwa hayapishani bila kusex so nyie ni zaidi ya Mang'ombe". Mwache Huyo Binti.
Hiyo michepuko mnachepuka na mbuzi mkuu?Sasa nakutomba akatombee waapi?
Ulimkosea nini mkuuNimeoa Ndoa ya Kikristo ndoa ina miaka 4 na nina mtoto mmoja tumejenga ila mke wangu ameninunia now miez 7 navumilia tu hata sijui mwisho wake.
Anasema hanipendi, upendo umeisha kwangu. Sababu kuna makosa nayarudia mara kwa mara kwamba anaona kama simpendi ,na makosa mengine ya zaman hata kabla hatujaoana .
Nimembembeleza nimejaribu kuitishana vikao na wazee amekubal ila sasa amekubali ilimradi kuwaridhisha wazee, maana baada ya hapo anasema kama tunaishi ili watu waone sawa.
So no sex no talking tunapishana kama mang'ombe. Kuachana nae nahofia mwanangu na mali tulizotafuta kwa pamoja
Nahofia tukiachana kila kitu kitasambaratika na watoto wataanza pata tabu mana mali ndio hadhina ya watoto. am stuck
Mtoto mmoja, nyumba moja. Gawaneni tuu amani ni bora kuliko mali.Nimeoa Ndoa ya Kikristo ndoa ina miaka 4 na nina mtoto mmoja tumejenga ila mke wangu ameninunia now miez 7 navumilia tu hata sijui mwisho wake.
Anasema hanipendi, upendo umeisha kwangu. Sababu kuna makosa nayarudia mara kwa mara kwamba anaona kama simpendi ,na makosa mengine ya zaman hata kabla hatujaoana .
Nimembembeleza nimejaribu kuitishana vikao na wazee amekubal ila sasa amekubali ilimradi kuwaridhisha wazee, maana baada ya hapo anasema kama tunaishi ili watu waone sawa.
So no sex no talking tunapishana kama mang'ombe. Kuachana nae nahofia mwanangu na mali tulizotafuta kwa pamoja
Nahofia tukiachana kila kitu kitasambaratika na watoto wataanza pata tabu mana mali ndio hadhina ya watoto. am stuck