Nipeni ushauri: Mke wangu ameninunia kwa miezi saba sasa. Navumilia tu hata sijui mwisho wake

Nipeni ushauri: Mke wangu ameninunia kwa miezi saba sasa. Navumilia tu hata sijui mwisho wake

Nimeoa Ndoa ya Kikristo ndoa ina miaka 4 na nina mtoto mmoja .
Hapa una mtoto mmoja.
Nahofia tukiachana kila kitu kitasambaratika na watoto wataanza pata tabu mana mali ndio hadhina ya watoto. am stuck.
Hapa watoto watapata tabu.

Na hamjashiriki tendo mwezi wa saba sasa.
 
Nimeoa Ndoa ya Kikristo ndoa ina miaka 4 na nina mtoto mmoja tumejenga ila mke wangu ameninunia now miez 7 navumilia tu hata sijui mwisho wake.

Anasema hanipendi, upendo umeisha kwangu. Sababu kuna makosa nayarudia mara kwa mara kwamba anaona kama simpendi ,na makosa mengine ya zaman hata kabla hatujaoana .

Nimembembeleza nimejaribu kuitishana vikao na wazee amekubal ila sasa amekubali ilimradi kuwaridhisha wazee, maana baada ya hapo anasema kama tunaishi ili watu waone sawa.

So no sex no talking tunapishana kama mang'ombe. Kuachana nae nahofia mwanangu na mali tulizotafuta kwa pamoja

Nahofia tukiachana kila kitu kitasambaratika na watoto wataanza pata tabu mana mali ndio hadhina ya watoto. am stuck
Kunywa nyagi au kvant lewa chakari ukamuombe msamaha piga magoti, mnyonye hadi papuchi ilimradi akusamehe kisha mgegede asubuhi hukumbuki chochote
 
Hili jamaa litakuwa limemwumiza sana! Na ukweli ni kwamba hawa wanawake hata kutoka nje ya ndoa chanzo huwa ni sisi wanaume mandezi! Unamwumiza miaka yote amekuvumilia tu mwisho wa siku anakata tamaa! Hili jamaa lingeyasema yote hayo linayoyaficha watu mngelia hapa kwa kumhurumia huyo binti!
Hakika Uncle.
 
Pole!

Wakristo!ndio wakristo,mnateswa coz mlidanganywa ndoa ni Moja tu!
Mi mkristo ninaamini mitara!HUWEZI KUWA MKRISTO KULIKO IBRAHIM,YAKOBO,MUSA na wote walikua na mitara he wewe mkristo madongo kuinuka ndio uwe nucleated!!?

Ameshakuweka kwenye tagert na malengo katimiza yaani kile alichotaka kwako kakipata!

Sasa USIDAI TALAKA,SUBIRI AIOMBE YEYE!WEWE TAFUTA MCHEPUKO!NDIO MCHEPUKO MALIZA HAJA ZAKO RUDI ULALE KAMA GOGO VILE!!TENA USIIIOMBE COZ HICHO NDICHO ANACHOJIVUNIA YAANI WEWE KUIOMBA NDIO UNAMPA KICHWA!

AKIKUULIZA MCHANE UKWELI"SIWEZI NYENYEKEA MWANAMKE KISA K"MWAMBIE ZIPO KIBAO KITAA NA WEWE UKITAKA INGIA MZIGONI!!

DAWA YA MOTO NI MOTO SIO MAJI!

CHUKUA HII:-

MWANAMKE AKIKUNYIMA UNYUMBA KESHA VUNJA NDOA TAYARI WEWE MOVE ON FASTER!!JITEGEMEE KIVYAKO!!

Unavyolialia ndio unampa kichwa coz anataka kutumia huo uke kukutawala na kuku twist anavyotaka,ndio trick yao hao viumbe!!
 
Hili jamaa litakuwa limemwumiza sana! Na ukweli ni kwamba hawa wanawake hata kutoka nje ya ndoa chanzo huwa ni sisi wanaume mandezi! Unamwumiza miaka yote amekuvumilia tu mwisho wa siku anakata tamaa! Hili jamaa lingeyasema yote hayo linayoyaficha watu mngelia hapa kwa kumhurumia huyo binti!
Hakika Uncle.
 
Nimeoa Ndoa ya Kikristo ndoa ina miaka 4 na nina mtoto mmoja tumejenga ila mke wangu ameninunia now miez 7 navumilia tu hata sijui mwisho wake.

Anasema hanipendi, upendo umeisha kwangu. Sababu kuna makosa nayarudia mara kwa mara kwamba anaona kama simpendi ,na makosa mengine ya zaman hata kabla hatujaoana .

Nimembembeleza nimejaribu kuitishana vikao na wazee amekubal ila sasa amekubali ilimradi kuwaridhisha wazee, maana baada ya hapo anasema kama tunaishi ili watu waone sawa.

So no sex no talking tunapishana kama mang'ombe. Kuachana nae nahofia mwanangu na mali tulizotafuta kwa pamoja

Nahofia tukiachana kila kitu kitasambaratika na watoto wataanza pata tabu mana mali ndio hadhina ya watoto. am stuck
Kwa nini ulioa mwanamke ambaye hakuelimika?

Kwa nini unampiga dushe ya kitoto? Badilika

Huu ni mwaka nne hujamnunulia hata kufuli kisa unajenga

Madai yake ni mengi ila kubwa kuliko unamdhara kwa sababu elimu yake ndogo
 
Hata kama alikukuta kitandani na mwanamke mwingine hiyo ni too much.

She's planning to kill you.

Hesabu tu kuwa hiyo siyo riziki.
Unaogopa nini kumwambia aache tabia ya kusema uongo hata kwa watu wasiomuhusu.
 
Kila siku nawaambia vijana wa kileo walogeni wake zenu Ninyi mnadai hakuna uchawi... Bila kumuinamisha mwanamke hutafanya kazi ikasonga mbele lazima atakuvuluga tu. Ss ona mwanetu anavyochanganywa badala ya kuwaza pesa tayari anatembea anawaza matatzo ya nyumbani kwake
 
Kwa nini ulioa mwanamke ambaye hakuelimika?

Kwa nini unampiga dushe ya kitoto? Badilika

Huu ni mwaka nne hujamnunulia hata kufuli kisa unajenga

Madai yake ni mengi ila kubwa kuliko unamdhara kwa sababu elimu yake ndogo
sijakuelewa. dushe gani. mwaka wa nne tuko kwenye nyumba yetu
 
Kila siku nawaambia vijana wa kileo walogeni wake zenu Ninyi mnadai hakuna uchawi... Bila kumuinamisha mwanamke hutafanya kazi ikasonga mbele lazima atakuvuluga tu. Ss ona mwanetu anavyochanganywa badala ya kuwaza pesa tayari anatembea anawaza matatzo ya nyumbani kwake
Kumuinamisha km una kibamia kinaelea unafikiri anaelewa nini na yeye anataka hogo la jang'ombe limsugue pale kati?
 
Ndoa is a scam thing....wanavumilia tu....
Hata wewe unaona ndoa ni utapeli bora kuchepuka tu yaan unakutana nae anakuondolea ukame wako baada ya hapo kila mtu atembee na njia yake sio kusumbuana?
 
Miezi saba mingi sanaaa, lazima ameumia sana sana..

Hili tatizo kubwa sanaaaa.. Limekuwa la kisaikolojia.

Sio peke yake kuwa hivyo duniani.. Wanaume huwa hamsikii mkianza kupewa warnings ila ndio matokeo yake hayo.

Badilisha maisha nae.. Anza kuanza kumwambia muende likizo nyie wawili sehemu.. Nchini kuna vivutio vingi pa kutulia.. Ili aje aseme yote uongee akili hapo.. Sehemu ya kula kulala tu kila baada ya muda kidogo uone itakuwaje..

Ikigoma kubadili hata kidunchu.. basi imetoka hiyooo kweli kweli
Bibi 🤣🤣
 
Hata wewe unaona ndoa ni utapeli bora kuchepuka tu yaan unakutana nae anakuondolea ukame wako baada ya hapo kila mtu atembee na njia yake sio kusumbuana?
Wenye kubahatika watabahatika ila ndoa isiwekwe kipaumbele kuliko amani na utulivu wa nafsi
 
Achana nae huyo kabla hajakuua
Nimeoa Ndoa ya Kikristo ndoa ina miaka 4 na nina mtoto mmoja tumejenga ila mke wangu ameninunia now miez 7 navumilia tu hata sijui mwisho wake.

Anasema hanipendi, upendo umeisha kwangu. Sababu kuna makosa nayarudia mara kwa mara kwamba anaona kama simpendi ,na makosa mengine ya zaman hata kabla hatujaoana .

Nimembembeleza nimejaribu kuitishana vikao na wazee amekubal ila sasa amekubali ilimradi kuwaridhisha wazee, maana baada ya hapo anasema kama tunaishi ili watu waone sawa.

So no sex no talking tunapishana kama mang'ombe. Kuachana nae nahofia mwanangu na mali tulizotafuta kwa pamoja

Nahofia tukiachana kila kitu kitasambaratika na watoto wataanza pata tabu mana mali ndio hadhina ya watoto. am stuck
 
Back
Top Bottom