Nipeni ushauri: Mke wangu ameninunia kwa miezi saba sasa. Navumilia tu hata sijui mwisho wake

Wee ni muongo sanaa.
 
Hakika wee umesema ukweli.
 
ANGALIZO.

This theory it works only in relationship/Dating, Sio kwa Wenye Ndoa na Familia.

Za Kuambiwa changanya na zako.
 
Mleta mada aishi hapa, huko nje wanaotafuta ndoa ni wengi saaaana.
 
ANGALIZO.

This theory it works only in relationship/Dating, Sio kwa Wenye Ndoa na Familia.

Za Kuambiwa changanya na zako.
Jichanganye kuwa mr. nice guy kwa mwanamke haijalishi ni mkeo au upo kwenye dating. Utachakaa
Ndoa au mahusiano mengi ya bad boys na play boy hudumu zaidi kuliko za manice guy.
Nakuhurumia sana kijana, kwa kudanganyika na tamthilia za kifilipino ndiyo ulete kwa mwanamke
Nyuzi nyingi humu walioumizwa na mapenzi ni wale wenye mapenzi ya dhati
 
Acha ujinga mjomba. Kuwa mwanaume basi hata masaa 2.
 
Mwehu! Li mama lako lingerogwa ungepatikana wewe?
 
Kuna kitu anakitaka hakuweki wazi tu wanawake Hawajui hata nn wanachotaka Kuna kipindi mi pia nilinuniwa sana na Mimi nikamuiga hivyo hivyo
 
Kaka nimekubali kama hilo lakujifanya dini anaijua ndo huyo mama angu yupo bize swala tano aisee
 
Ndoa ni kaa la moto, ndoa ni joto.
🀣🀣🀣 Ndoa ni maisha baada ya harusi, ile sherehe uliyoiota ndotoni.
Ndoa siyo drama mbele ya watu nyimi.
Ndoa ya kweli huanzia moyoni, ndoa ni fumbo....: Dizasta vina.

πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† huyu jamaa sidhani kama anakula ugali kama sisi wenzake.
 


hahaha anakulannini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…