Nipeni ushauri: Mke wangu ameninunia kwa miezi saba sasa. Navumilia tu hata sijui mwisho wake

Nipeni ushauri: Mke wangu ameninunia kwa miezi saba sasa. Navumilia tu hata sijui mwisho wake

M kukaaa kimya loh HUYO anakuwekea na sumuu na sikuhizi KUNA sumu za miezi 3..6..9..YAAN anachagua semester tyu unaishia nayoo
 
Nimeoa Ndoa ya Kikristo ndoa ina miaka 4 na nina mtoto mmoja tumejenga ila mke wangu ameninunia now miez 7 navumilia tu hata sijui mwisho wake.

Anasema hanipendi, upendo umeisha kwangu. Sababu kuna makosa nayarudia mara kwa mara kwamba anaona kama simpendi ,na makosa mengine ya zaman hata kabla hatujaoana .

Nimembembeleza nimejaribu kuitishana vikao na wazee amekubal ila sasa amekubali ilimradi kuwaridhisha wazee, maana baada ya hapo anasema kama tunaishi ili watu waone sawa.

So no sex no talking tunapishana kama mang'ombe. Kuachana nae nahofia mwanangu na mali tulizotafuta kwa pamoja

Nahofia tukiachana kila kitu kitasambaratika na watoto wataanza pata tabu mana mali ndio hazina ya watoto.

Mwenzenu nimekwama. Naomba ushauri
Kaa kwa tahadhari, kuna siku utaamka ukute umebanikwa kama ndafu
 
Pole sana mkuu.
1. Ndoa siyo kwa ajili yako ni kwa ajili ya watoto: Dizasta vina

2. Ndoa ni maigizo yasiyo na hela: Dizasta vina

3. Ndoa siyo akiba ni sanaa: Dizasta vina
Nje ya Mada. Dizasta vina anajua sana sijui kwq nini nchi inashindwa kumtambua kama namba one MC nchini
 
Nje ya Mada. Dizasta vina anajua sana sijui kwq nini nchi inashindwa kumtambua kama namba one MC nchini
Nadhani ni ngumu kwa nchi kumtambua Dizasta vina kama mc namba moja, lakini kadiri kunapokucha watu wa hip hop wanaendelea kuuimba ubora wake, kwahiyo bila shaka muda ukifika anaweza kufika hapo.
 
Mi nakushauri mpeane space kwa muda na wewe kama ndo mwenye makosa jitahidi kurekebisha.
Sisi wanawake tukifika mwisho tumefika.
 
Nimeoa Ndoa ya Kikristo ndoa ina miaka 4 na nina mtoto mmoja tumejenga ila mke wangu ameninunia now miez 7 navumilia tu hata sijui mwisho wake.

Anasema hanipendi, upendo umeisha kwangu. Sababu kuna makosa nayarudia mara kwa mara kwamba anaona kama simpendi ,na makosa mengine ya zaman hata kabla hatujaoana .

Nimembembeleza nimejaribu kuitishana vikao na wazee amekubal ila sasa amekubali ilimradi kuwaridhisha wazee, maana baada ya hapo anasema kama tunaishi ili watu waone sawa.

So no sex no talking tunapishana kama mang'ombe. Kuachana nae nahofia mwanangu na mali tulizotafuta kwa pamoja

Nahofia tukiachana kila kitu kitasambaratika na watoto wataanza pata tabu mana mali ndio hazina ya watoto.

Mwenzenu nimekwama. Naomba ushauri
Mtafute mgoni wako taratibu utamkamata tu ,
ila Kuna mtu anakupigia mkeo,

Mwanamke akisusa kukupa penzi ujuwe Kuna sehem analiwa..

Kuna mke wa mtu ana ugomvi na mumewe ,,yaani kesi kama yako .Mimi ndy namsaidia kumliwaza Kwa Sasa...

Mume ana miezi 6 hapewi chochote..
 
Nimeoa Ndoa ya Kikristo ndoa ina miaka 4 na nina mtoto mmoja tumejenga ila mke wangu ameninunia now miez 7 navumilia tu hata sijui mwisho wake.

Anasema hanipendi, upendo umeisha kwangu. Sababu kuna makosa nayarudia mara kwa mara kwamba anaona kama simpendi ,na makosa mengine ya zaman hata kabla hatujaoana .

Nimembembeleza nimejaribu kuitishana vikao na wazee amekubal ila sasa amekubali ilimradi kuwaridhisha wazee, maana baada ya hapo anasema kama tunaishi ili watu waone sawa.

So no sex no talking tunapishana kama mang'ombe. Kuachana nae nahofia mwanangu na mali tulizotafuta kwa pamoja

Nahofia tukiachana kila kitu kitasambaratika na watoto wataanza pata tabu mana mali ndio hazina ya watoto.

Mwenzenu nimekwama. Naomba ushauri
Hujambo,pole kwa hiyo hali,njoo inbox nikusaidie mbinu
 
Wakati mshua anamuacha bi mkubwa nikiwa darasa la pili nilimuonaga miyeyusho sana,lakini tulikua japo kwa meno na zile nyakati ziliimarisha akili yangu sasa nimekua mtu mzima naelewa nini hasa kilimsukuma kupiga chini.

Mkuu usilazimishe mapenzi hata siku moja mwanamke akikuchoka huna cha kufanya kubadili kitu.
 
1. nina mtoto mmoja
2. watoto wataanza pata tabu!
Kisa cha kununiana na mkeo ni tabia yako ya uongo, yaani muongo muongo tu na uongo wako hujirudiarudia.
Labda ana mpango wa kuongeza watoto wengine wakiwa wamenuniana hivyo hivyo
 
Jichanganye kuwa mr. nice guy kwa mwanamke haijalishi ni mkeo au upo kwenye dating. Utachakaa
Ndoa au mahusiano mengi ya bad boys na play boy hudumu zaidi kuliko za manice guy.
Nakuhurumia sana kijana, kwa kudanganyika na tamthilia za kifilipino ndiyo ulete kwa mwanamke
Nyuzi nyingi humu walioumizwa na mapenzi ni wale wenye mapenzi ya dhati
Sio kweli.

Tumeona bad boys wengi tu wakisalitiwa

Na tumeona Ndoa nyingi za bad boys zikisalitiwa

Utofauti ni kua they don't give a https://jamii.app/JFUserGuide wether you stay or go, Hivyo hawapati maumivu kama bice guys.

Lkn hisia za mwanamke haziangalii kua wewe ni bad boy or nice boy once ame meet a guy that has value more than urs any thing can happen
 
Ndoa yoyote yenye shida asilimia kubwa ni mwanaume kashindwa ku apply uanaume wake, eti nishaurini??? Take affirmative action, miezi 7??
 
Miezi saba anabanduliwa na nani?? Shtuka kijana vinginevyo utaingia kwenye majuto zaidi ya uliyonayo ss, na bora nusu hasara kuliko hasara kamili
 
Sio kweli.

Tumeona bad boys wengi tu wakisalitiwa

Na tumeona Ndoa nyingi za bad boys zikisalitiwa

Utofauti ni kua they don't give a JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala wether you stay or go, Hivyo hawapati maumivu kama bice guys.

Lkn hisia za mwanamke haziangalii kua wewe ni bad boy or nice boy once ame meet a guy that has value more than urs any thing can happen
Usichokijua kuwa wanawake wanapenda bad boy na play boy. Sasa wewe kuwa mpole na ulete mapenzi ya tamthilia za kifilipino. Utachakaa
Nyie ndiyo wale, mnaowasomesha wapenzi au wake zenu mkiamini watawapenda sana
 
Nimeoa Ndoa ya Kikristo ndoa ina miaka 4 na nina mtoto mmoja tumejenga ila mke wangu ameninunia now miez 7 navumilia tu hata sijui mwisho wake.

Anasema hanipendi, upendo umeisha kwangu. Sababu kuna makosa nayarudia mara kwa mara kwamba anaona kama simpendi ,na makosa mengine ya zaman hata kabla hatujaoana .

Nimembembeleza nimejaribu kuitishana vikao na wazee amekubal ila sasa amekubali ilimradi kuwaridhisha wazee, maana baada ya hapo anasema kama tunaishi ili watu waone sawa.

So no sex no talking tunapishana kama mang'ombe. Kuachana nae nahofia mwanangu na mali tulizotafuta kwa pamoja

Nahofia tukiachana kila kitu kitasambaratika na watoto wataanza pata tabu mana mali ndio hazina ya watoto.

Mwenzenu nimekwama. Naomba ushauri
Achaneni tu, si umejitakia mwenyewe?
 
Back
Top Bottom