monopoly inc
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 5,256
- 11,377
Punguza kuvaa musuruali ya kitambaa kama rais wa korea utakuja kunishukuru
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Demu ameniambia tusepe twende kwengine..its fine ila mie namtaka huyo aliyeleta hizi savana kwanza numjue.Embu acha fujo..she amalizie hizo Savannah mkale Raha za dunia..mambo mengine mtayamaliza kesho asubuhi.
Babaa..nimekwambia nilipo wewe sidhani kama ushafika hata réception.Punguza kuvaa musuruali ya kitambaa kama rais wa korea utakuja kunishukuru
Mpe mhudumu ofa azinywe yeyeMkuu uwezo huo ninao ila mhudumu kagoma kumtaja..
Demu ya yeye nimembana kasema hajui chochote...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Punguza kuvaa musuruali ya kitambaa kama rais wa korea utakuja kunishukuru
Yes, ila kutomjua huyo jamaa leo pia itakuwa ni tatizo..yawezelama hii Pic tupo wengi mkuu. Hapo ndipo kikwazo kilipo...Mpe mhudumu ofa azinywe yeye
We kiumbe mtakatifu upo?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ngoja mwenyewe akusikie
Fala tu huyo hajui kwamba mwanaume pesa na si suruali za selebration[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ngoja mwenyewe akusikie
Fanya kumsogeza mhudumu ata na liteni atamtaja aliyemtumaYes, ila kutomjua huyo jamaa leo pia itakuwa ni tatizo..yawezelama hii Pic tupo wengi mkuu. Hapo ndipo kikwazo kilipo...
Pic analia tuondoke..nimegoma.
Pamoja na hilo,Babaa..nimekwambia nilipo wewe sidhani kama ushafika hata réception.
Jamaa anasema tumpe ushauri tunampa afu anatukejeli tena eti "hapa nilipo wewe hujawahi fika hata reception"[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ngoja mwenyewe akusikie
Nimejaa teleWe kiumbe mtakatifu upo?
HehehFala tu huyo hajui kwamba mwanaume pesa na si suruali za selebration
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jamaa anasema tumpe ushauri tunampa afu anatukejeli tena eti "hapa nilipo wewe hujawahi fika hata reception"
Hili ndilo tatizo nililonalo mkuu. Ni dharau kubwa saana.Heheh
Utakaaje na dem wako halaf vinywaji viletwe from nowhere ni dharau kubwa sana sijui ameonekanaje mbele ya kadamnasi
Kama vipi lianzishe halafu mhame kijiwe fasta kikianza kunukiaHili ndilo tatizo nililonalo mkuu. Ni dharau kubwa saana.
[emoji3]Punguza kuvaa musuruali ya kitambaa kama rais wa korea utakuja kunishukuru