Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Mkuu wewe kupigwa ban au kutopigwa ban ina athari gani humu jukwaani? Mbona binadamu mnaanza kujitafutia upekee sana na wala huna cha kukupa huo upekee.Mimi Dabil nikiwa na akili zangu timamu bila kushurutishwa au kushawishiwa na mtu yeyote,Yanga akivuka hatua ya makundi na kuingia robo fainali nipigwe BAN ya mwezi.
Ninetafakari sana,haitatokea Yanga kuvuka hili kundi maana hawana uzoefu wa kuingia robo fainali ya club bingwa mwisho wa ni makundi tu.
Ibenge akiwafunga tena kaz imeishaMimi Dabil nikiwa na akili zangu timamu bila kushurutishwa au kushawishiwa na mtu yeyote,Yanga akivuka hatua ya makundi na kuingia robo fainali nipigwe BAN ya mwezi.
Ninetafakari sana,haitatokea Yanga kuvuka hili kundi maana hawana uzoefu wa kuingia robo fainali ya club bingwa mwisho wa ni makundi tu.
Ohooooo....umeiga Ile tabia ya Labani og ?Mimi Dabil nikiwa na akili zangu timamu bila kushurutishwa au kushawishiwa na mtu yeyote,Yanga akivuka hatua ya makundi na kuingia robo fainali nipigwe BAN ya mwezi.
Ninetafakari sana,haitatokea Yanga kuvuka hili kundi maana hawana uzoefu wa kuingia robo fainali ya club bingwa mwisho wa ni makundi tu.
Ondoa maneno uliyoweka kwenye mabanoNikajua upigwe miti(yaani fimbo hata sita kila mwezi) . Hhahahaaaa
Kwani unaweza kupigwa fimbo bila miti?ππOndoa maneno uliyoweka kwenye mabano
Zaidi ya wavuta shisha na mihadarati waliopo utopoloni ( fourfigure fc..) ( scientific calculator fc)Kule ukoloni Kuna vijana wengi wa ajabu ajabu
Unasema?Mod wanasubiri nini?
Soon anaenda kuyatimba huyu mwanetu π πSafari tunaianza kuelekea Baaaaannnn
Tunzeni risiti hii ya mwanetu huyu πππππUnasema?