Jobless_Billionaire
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 3,106
- 8,101
๐๐๐ jamaa mmeamua kumkazia kama nyerere alivyomkazia mzungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐ jamaa mmeamua kumkazia kama nyerere alivyomkazia mzungu
Apambane na Hali yake jela inamsubiri๐๐๐ jamaa mmeamua kumkazia kama nyerere alivyomkazia mzungu
๐๐๐ jamaa mmeamua kumkazia kama nyerere alivyomkazia mzungu
Wanasema jela sio kaburi mkuuApambane na Hali yake jela inamsubiri
Majibu yanajulikana. Kwaheri Dabil tutaonana ONLINE tarehe 17 Feb, 2025Haya leo tutapata majibu.
Leo siku yako imefika๐Mimi Dabil nikiwa na akili zangu timamu bila kushurutishwa au kushawishiwa na mtu yeyote,Yanga akivuka hatua ya makundi na kuingia robo fainali nipigwe BAN ya mwezi.
Ninetafakari sana,haitatokea Yanga kuvuka hili kundi maana hawana uzoefu wa kuingia robo fainali ya club bingwa mwisho wa ni makundi tu.
Na hii itunzeTar 17 feb ya wapi wakati leo ni draw ya wazi,mi nipo sana Yanga hawaendi popote
Hiyo ban inakuhusu, ungepiga bao kabla ya maneno yako. Yanga ileeee inapetaaa.Mimi Dabil nikiwa na akili zangu timamu bila kushurutishwa au kushawishiwa na mtu yeyote,Yanga akivuka hatua ya makundi na kuingia robo fainali nipigwe BAN ya mwezi.
Ninetafakari sana,haitatokea Yanga kuvuka hili kundi maana hawana uzoefu wa kuingia robo fainali ya club bingwa mwisho wa ni makundi tu.
Hadi sasa tunahesabu mmeshatokaHuu uzi leo tukipigwa tutakoma,tukipiga mwarabu mleta mada atakoma maana wenzie watamkana kama Yuda iskarioti