Nipigwe 'ban' ya mwezi iwapo Yanga atavuka hatua ya makundi

Wamechanganyikiwa moja kasema alimtoa Musonda kwanini asimrudishe uwanjani
 
Yeyote mwenye akili timamu alijua hili....mkishamkejeli MUNGU lazma mabaya yawakute....kiko wapi YANGA
 
Yeyote mwenye akili timamu alijua hili....mkishamkejeli MUNGU lazma mabaya yawakute....kiko wapi YANGA
Kumfunga mwarabu anayetafuta draw kufuzu ni ishu sana maana lazima apoteze mda,yanga walirelax kipindi cha kwanza ilitakiwa mpera mpera mwanzo mwisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…