Ok. Wameshazikusanya andaa kiberiti🤣🤣🤣🤣TANGAZO
Kesho ni siku rasmi ya kuchoma calculator zilizowadanganya yanga,fika na calculator yako bila kukosa wala kuchelewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok. Wameshazikusanya andaa kiberiti🤣🤣🤣🤣TANGAZO
Kesho ni siku rasmi ya kuchoma calculator zilizowadanganya yanga,fika na calculator yako bila kukosa wala kuchelewa
Wamechanganyikiwa moja kasema alimtoa Musonda kwanini asimrudishe uwanjaniKuna shabiki nilikua nimekaa nae karibu kamtukana kocha huku macho kayatoa, "Huyu kocha si amuingize Kibu Dennis ndio dakika zake, nikamjibu kwa upole Kibu Dennis haruhusiwi kucheza huku kwani yeye yuko Simba namuona kanyweea huku akivuta punzi ndefu😂😂😂
Ok. Wameshazikusanya andaa kiberiti
Mmejaa au mmekimbia?Tarehe 18 jioni huu ndio uzi utakaotrend kwa siku hiyo. [emoji2][emoji2]
Tutajaa hapa hadi ushangae mleta uzi.
Yeyote mwenye akili timamu alijua hili....mkishamkejeli MUNGU lazma mabaya yawakute....kiko wapi YANGAMimi Dabil nikiwa na akili zangu timamu bila kushurutishwa au kushawishiwa na mtu yeyote,Yanga akivuka hatua ya makundi na kuingia robo fainali nipigwe BAN ya mwezi.
Ninetafakari sana,haitatokea Yanga kuvuka hili kundi maana hawana uzoefu wa kuingia robo fainali ya club bingwa mwisho wa ni makundi tu.
Gusa Achia twende Ligi Kuu[emoji23][emoji23]Tarehe 18 jioni huu ndio uzi utakaotrend kwa siku hiyo. [emoji2][emoji2]
Tutajaa hapa hadi ushangae mleta uzi.
Kumfunga mwarabu anayetafuta draw kufuzu ni ishu sana maana lazima apoteze mda,yanga walirelax kipindi cha kwanza ilitakiwa mpera mpera mwanzo mwishoYeyote mwenye akili timamu alijua hili....mkishamkejeli MUNGU lazma mabaya yawakute....kiko wapi YANGA
Bibie nenda kampoze tu maana hakuna namnaBABY WANGU yanga NAOGOPA HATA KWENDA HUKO KITANDANI
Wanaume tuliona hawa mapimbi hawana Timu wanacheza kama wamevaa Gunboots za shambaniNa mimi najiongeza hapo kama kifungashio Ikitokea Yanga wamevuka makundi nipigwe Ban ya Siku 1 maamuzi yangu yaheshimike na kutekelezwa kikamilifu.
Nenda kampoze tuBABY WANGU yanga NAOGOPA HATA KWENDA HUKO KITANDANI
hakika yametimiaMapenzi yako yatimizwe