Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vidampa wote wamejificha 😹Mji umekuwa mkimya
Yani una risk elfu 90 kwa kufukuzia faida ya elfu 10, ujinga Gani huu? Au ndio tuseme kamari imewakolea?Ya supu yanga nomaa
Pesa ni Yako?Yani una risk elfu 90 kwa kufukuzia faida ya elfu 10, ujinga Gani huu? Au ndio tuseme kamari imewakolea?
Nakuhurumia tu mkuuPesa ni Yako?
Mkuu sijasema si faida ila tunazungumzia riskAngebet ushindi angeliwa, 16,000 ni faida si hela ndogo
Kipo wapiUziwako umetunzwa subiri gemu ya dar na Mungu akipenda tutashinda Ili upatiwe haki Yako.
Haya sasaKijana umejipeleka mwenyewe Kibra! Kilichobakia ni hiyo kesho kuchinjwa tu ili tupate supu.
Moderator, tunaomba muwe standby hiyo kesho ili kumpa haki yake huyu kijana wa Rage.
Wanaweweseka kwa kweliKuna shabiki wa yanga kasema kauli mbiu ya gusa achia haina morali kama ubaya ubwela
😀😀ondoa neno ban ya mwezi mmoja. Fanya Ban ya mwaka mzima. Haez kufuzu mkuu