Makwizi Band
JF-Expert Member
- Aug 19, 2024
- 1,535
- 2,565
Ukiuliza u best presidency wa JK ni upi? Utaambiwa demokrasia. Interesting.Mleta mada ndio wale huhubiri humu "Kikwete is the best president we ever had"
Hii nchi inaharibiwa na wajinga wenye nguvu.
Walifanye soko au garaKama halitumiki kiimani,basi libadilishiwe matumizi.
Kwani lazima wamshangilie?Kaka; wewe upo huko duniani, nchi za watu huko, una exposure kubwa kuliko wengi wetu humu na umejenga heshima yako kubwa hapa jukwaani. Nitajie nchi yeyote duniani (achana na hizi za Africa ) ambayo mwandishi wake wa habari anaweza ku share habari za "ubadhirifu" kwa media za nje ya nchi yake na wananchi wenzie wa nchi hiyo wakamshangilia, nitajie just one.
The evil that men do lives after themHII THREAD IMENIHAKIKISHIA KWAMBA MAGUFULI HAFUNIKIKI.
Magufuli hakuwahi kutangaza hilo, hili la kua mkoa lilitangazwa siku ya mazishi yake.Hovi Chato bafo kuwa mkoa!
Mzalendo wa kweli atalikisha information kwa local media hasa social media kama JF na kwingineko; ukiona mwandishi anapeleka siri au hicho unacho kisema wewe kama ubadhirifu nje ya nchi yake, huyo hana Nia nzuri na nchi yake, huyo ni mfanyabiashara, anaweza kuuza nchi yake, huyo ni kibaraka, hafai kabisa kua moja ya mwananchi mwenzio; tetea unavyo weza lakini popote duniani HAKUNAGA jambo la namna hiyo halafu na wenye akili wakaunga mkono, hakuna.Kwani lazima wamshangilie?
Kama wananchi wanashangilia ujinga kila siku, kwa nini unaona kushangilia kuna maana sana?
Unalazimisha hoja kijinga.Mzalendo wa kweli atalikisha information kwa local media hasa social media kama JF na kwingineko; ukiona mwandishi anapeleka siri au hicho unacho kisema wewe kama ubadhirifu nje ya nchi yake, huyo hana Nia nzuri na nchi yake, huyo ni mfanyabiashara, anaweza kuuza nchi yake, huyo ni kibaraka, hafai kabisa kua moja ya mwananchi mwenzio; tetea unavyo weza lakini popote duniani HAKUNAGA jambo la namna hiyo halafu na wenye akili wakaunga mkono, hakuna.
Mwanzoni nilidhani Magufuli alikua anaonea watu, baada ya kusoma the other side ya huyu mwandishi ambaye kupitia yeye umenituhumu kwamba nilikataa shule, nimejiridhisha, intelligence ya Magufuli was for this country na sio kwa maslahi yake binafsi. Kama kutokupenda makaratasi ya Kabendera ni kuchukia shule, let me stay ignorance kuliko kua msomi muuza nchi, shule inakua haina maana to me, period
Siwalaumu! Inawezekana wanaangalia route zitakazowalipa badala ya kujaribu kumridhisha kila mtu.Uwanja umetelekezwa? Mbona unafanya kazi mkuu? Nimepandia ndege pale like 3 times, ile coaster ya airport mara zote ilikua inajaza abiria. Nawalaumu sana ATC, hawatangazi local roots, wangekua wanafanya advertisement za local roots, uwanja wa Chato ungekua kwenye top 5 ya airports zilizo busy bongo. Wakazi wa Geita wengi bado hawajui kama uwanja wa Chato unafanya kazi kama wengi wetu humu, wanakwenda Mwanza badala ya Chato. ATC bado inafanya biashara kizamani sana, husikii matangazo yao, wanatangaza ya nje tu. Eti Nigeria, India! Umasikini wa shirika hili ni wa kujitakia.
Huyo huyo aliyewaambia waandishi " hampo huru kuandika andika tu " au sio!? Unafikiri waandishi wa ndani wangeweza kuandika!? Wangeandikia wapi!? Magazeti yao yafungwe au kufutwa!?Mzalendo wa kweli atalikisha information kwa local media hasa social media kama JF na kwingineko; ukiona mwandishi anapeleka siri au hicho unacho kisema wewe kama ubadhirifu nje ya nchi yake, huyo hana Nia nzuri na nchi yake, huyo ni mfanyabiashara, anaweza kuuza nchi yake, huyo ni kibaraka, hafai kabisa kua moja ya mwananchi mwenzio; tetea unavyo weza lakini popote duniani HAKUNAGA jambo la namna hiyo halafu na wenye akili wakaunga mkono, hakuna.
Mwanzoni nilidhani Magufuli alikua anaonea watu, baada ya kusoma the other side ya huyu mwandishi ambaye kupitia yeye umenituhumu kwamba nilikataa shule, nimejiridhisha, intelligence ya Magufuli was for this country na sio kwa maslahi yake binafsi. Kama kutokupenda makaratasi ya Kabendera ni kuchukia shule, let me stay ignorance kuliko kua msomi muuza nchi, shule inakua haina maana to me, period
Chattle ni mfano mzuri sana wa yule mtu mpumbavu Biblia ilisema, aliyevuna mazao na kupata utajiri akasema sasa ngoja nikae nile nifurahishe nafsi yangu, Mungu akamwambia mpumbavu mkubwa wewe, leo hii nakuja kutwaa roho yako. wanadamu wengi huwa wanapata kiburi sana hasa wakipata kitu, wanajiona miungu watu, wanauwa watu,w anaonea na kunyanyasa nafsi za watu kwa sababu wana kitu. hawajui kuwa kuna mbabe mmoja tu ambaye akiamua kukunyoosha anakunyoosha tu. uwe Rais, uwe masikini uwe nani.Nina takribani siku ya tatu wilayani chato pahala nilipopachagua kufika kufanya utafiti dhidi utimamu wa akili wa Raisi wa Tanzania kabla hajawa raisi
Nikiwa kwenye utafiti wangu nikajikuta nafika pale nyumbani kwake kwanza nakutana na jengo la kanisa kubwa AMBALO kwa Sasa limefungwa
Naingiwa na shauku ya kutaka kujua hilo kanisa liliandikwa Mtakatifu Joseph mbona limefungwa?
Najulishwa yakuwa baada ya kifo Cha baba Yao familia iliwafukuzia mbali waumini wa kanisa la Pentekoste walio kuwa wanasali pale.
Pentekoste na Mtakatifu Joseph wap na wapi? Majibu niliyopewa ni kuwa Marehemu alijenga kanisa kwa lengo la kuwapa Katoliki lakini walilikataa ndo akaamua kuwapa walokole.
Kwa mtu anayeifahamu Katoliki huwezi kujenga kanisa kisha ukawapa wao, hii ilikuwa ishara ya ukichaaa tosha na kwa point hii Katoliki na Usalama walishiriki kutupa kichaa.
Hapo USA, Edward Snowden wananchi wanamtazama kama mzalendo?Unalazimisha hoja kijinga.
Hoja ya muhimu ni ukweli na uwazi.
Hilo suala la mtu kupeleka habari vyombo vya nje ndiyo linaweza kuwa la mzalendo zaidi, kwa sababu vyombo vya ndani vyote viko compromised.
Kabendera kaongelea haya yote alivyofanya kazi vyombo vya habari vya Mengi Tanzania alivyoona madudu.
Tatizo hutaki kusoma, umejijengea dhana za kijinga kichwani mwako na hutaki hata kusoma ujielimishe.
Wengi sana.Hapo USA, Edward Snowden wananchi wanamtazama kama mzalendo?
Wewe sifi leo wewe!!wewe ndio wale watafiti uchwara!Nina takribani siku ya tatu wilayani chato pahala nilipopachagua kufika kufanya utafiti dhidi utimamu wa akili wa Raisi wa Tanzania kabla hajawa raisi
Nikiwa kwenye utafiti wangu nikajikuta nafika pale nyumbani kwake kwanza nakutana na jengo la kanisa kubwa AMBALO kwa Sasa limefungwa
Naingiwa na shauku ya kutaka kujua hilo kanisa liliandikwa Mtakatifu Joseph mbona limefungwa?
Najulishwa yakuwa baada ya kifo Cha baba Yao familia iliwafukuzia mbali waumini wa kanisa la Pentekoste walio kuwa wanasali pale.
Pentekoste na Mtakatifu Joseph wap na wapi? Majibu niliyopewa ni kuwa Marehemu alijenga kanisa kwa lengo la kuwapa Katoliki lakini walilikataa ndo akaamua kuwapa walokole.
Kwa mtu anayeifahamu Katoliki huwezi kujenga kanisa kisha ukawapa wao, hii ilikuwa ishara ya ukichaaa tosha na kwa point hii Katoliki na Usalama walishiriki kutupa kichaa.
Kwanini nisiseme umetumia hisia kufikia hitimisho hili?Wengi sana.
Alikua anaijua hatma yake mapema!kwasasa huwezi kuwa namba moja wa nchi bila kujua fate yako,lazima utachungulia kwanza Toka kwa jamii zile ndio wakupe kijiti!!😃 ndo akaamua kuliita kabisa Mtakatifu Joseph.
Nimetoa mfano si wa mtu mmoja tu.Kwanini nisiseme umetumia hisia kufikia hitimisho hili?
Umetoa mfano wa mtu mmoja hapo.
Ok tufanye uko sahihi...Nimetoa mfano si wa mtu mmoja tu.
Huyo mtu ni mteuliwa wa rais anayeenda kuwa confirmed bungeni.
Maana yake ni kwamba anawakilisha mawazo yaliyokubalika na rais Trump na watu wengi sana waliomchagua. Anaenda kuwakilisha ajenda ya watu wengi sana wa Marekani. Ingekuwa si hivyo asingeteuliwa.
Hii poll inaonesha %56 ya millennials wa US wanamuona Snowden ni mzalendo.
International Poll Shows Millennials Have Positive Opinion of Edward Snowden | American Civil Liberties Union
NEW YORK – The American Civil Liberties Union today released the results of an international poll showing that majorities of millennials familiar with...www.aclu.org
Hapa YouGov survey inaonesha %55 ya Wamarekani wanaona Snowden yuko sawa. Kuna polls nyingi zinazoonesha kuwa kuna sehemu kubwa tu ya Wamarekani wanam support Snowden.
Haya, hizi polls zote nazo ni mtu mmoja huyu?
Demokrasia ni jambo relative na dynamic. This is not something that is fixed and written in stone. There is no perfect democracy on earth. Watu wanaoujua uhuru wao wanazikataa sheria dhalimu, hata kama si kwa kasi wanayotaka wao.Ok tufanye uko sahihi...
Kwanini Snowden aongee ukweli halafu akimbie wakati USA ni nchi ya kidemokrasia?