Nipo Dar, nahitaji hustler mmoja anipe idea ya kuwekeza 400k then nipate Angalau faida ya 20k kwa siku

Nipo Dar, nahitaji hustler mmoja anipe idea ya kuwekeza 400k then nipate Angalau faida ya 20k kwa siku

Huyo hustler ntampa 70k Kama Asante

NB hii idea before ajanipa Nampa hiyo 70k kwanza sitaki ujanja ujanja
Nipo dsm

Nb Mm Ni hustler na nimeshatapeliwa Sana so endapo nikikupa hiyo 70k ukapotea utakuwa unataka kunifanya niendelee kukaa kwa shemeji tu.
Ongeza mtaji almost 800k- 1.5m or more nikupe hio idea, but uwe smart kwenye masuala ya transactions
 
Huyo hustler ntampa 70k Kama Asante

NB hii idea before ajanipa Nampa hiyo 70k kwanza sitaki ujanja ujanja
Nipo dsm

Nb Mm Ni hustler na nimeshatapeliwa Sana so endapo nikikupa hiyo 70k ukapotea utakuwa unataka kunifanya niendelee kukaa kwa shemeji tu.
Hustler arap Ruto,

Biashara kama hiyo ingekuwepo kila mtu angekuwa tajiri na huyo unayetaka akusaidie asingepoteza muda kuchukuwa 70K zako. Wewe unaongelea biashara faida ya laki 5 kwa mwezi wa kwanza. Biashara nyingi huchukuwa muda kabla ya kurudisha initial investment na ndiyo uanze kupata faida halisi. Nakuombea mafanikio.
 
Mkuu, mawazo ya kupata hiyo 20,000 Kila siku yapo,mengi tu sema Sasa yanahitaji uwepo wapo muda wote,au usimamizi wa Hali ya juu na kujitoa kikamilifu Ili kupata hiyo 20,000 Kwa siku.
Hebu njoo pm , tuzungumze tukielewane nakupa idea upambane mkuu.
Ingekuwa busara zaidi kama ungemwaga hayo maujanja hapa kwaajili ya faida ya wengi mkuu.
 
Mimi naweza kukupa Idea simple sana ukawekeza 50,000 ukapta faida ya iyo 20k kwa siku au zaidi afu iyo itayobak utafanyia biashara ingne au utatunza
Em tunakuomba uiweke basi hiyo idea,ili wengi wetu tufaidike nayo Mkuu
 
Hustler arap Ruto,

Biashara kama hiyo ingekuwepo kila mtu angekuwa tajiri na huyo unayetaka akusaidie asingepoteza muda kuchukuwa 70K zako. Wewe unaongelea biashara faida ya laki 5 kwa mwezi wa kwanza. Biashara nyingi huchukuwa muda kabla ya kurudisha initial investment na ndiyo uanze kupata faida halisi. Nakuombea mafanikio.

UMEMALIZA🤝
 
Huyo hustler ntampa 70k Kama Asante

NB hii idea before ajanipa Nampa hiyo 70k kwanza sitaki ujanja ujanja
Nipo dsm

Nb Mm Ni hustler na nimeshatapeliwa Sana so endapo nikikupa hiyo 70k ukapotea utakuwa unataka kunifanya niendelee kukaa kwa shemeji tu.

umefunga PM mkuu
 
Mkuu, mawazo ya kupata hiyo 20,000 Kila siku yapo,mengi tu sema Sasa yanahitaji uwepo wapo muda wote,au usimamizi wa Hali ya juu na kujitoa kikamilifu Ili kupata hiyo 20,000 Kwa siku.
Hebu njoo pm , tuzungumze tukielewane nakupa idea upambane mkuu.

Wazee wa fursa
 
Huyo hustler ntampa 70k Kama Asante

NB hii idea before ajanipa Nampa hiyo 70k kwanza sitaki ujanja ujanja
Nipo dsm

Nb Mm Ni hustler na nimeshatapeliwa Sana so endapo nikikupa hiyo 70k ukapotea utakuwa unataka kunifanya niendelee kukaa kwa shemeji tu.

Duuh labd ufanye online njoo nikupe elimu mm nimepiga hatua online businesses
 
Back
Top Bottom