dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Kijna unatokea wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Owa wewe, unataka mke wa kumposti ili iweje? Au unawaolea wengine?Wakuu mm niko late 20s sasa bibi angu mzaa baba amekua akinisisitiza swala la kuoa ila namkwepa.
Nilivyoenda nyumban bibi alienda kwa kaka zake kijijini akakodineti mipango kwa binti fulani hivi. Yaani huyo binti kaka zake wote wanamsifia kwamba ni mchapakazi, Ana heshima, Sio muongeaji sana, ni mchaMungu nk .
Nilienda kumuangalia nikaongea nae. Anatazamika na anapostika kiasi.
Wakuu naomba mnipe ushauri hivi mke wa kutafutiwa anaweza kua bora kuliko ambae nitajitafutia?
-Yaani naokopa kumkataa maana wajomba zake baba wananisisitiza sana kwamba kwa jinsi wanavyomjua yule binti nitakua nimepata mdada mwema.
- Je wakuu nifanyeje.
Ahsante sana mkuu kwa ushauri. BlessMkuu wazazi wetu wanatupenda Sana na wanapenda kutuona tukifanikiwa katika maisha.Unavyoona hiyo hali ya kusisitizwa kuoa ni Kwa sababu wameona Kuna faida ya kuoa.Kwa upande wangu niseme tu navyoona Baba zetu au mama zetu Wanakuwa wanajua wenza Bora wa kuoa kuanzia tabia Hadi mwonekano na Wanakuwa na busara kubwa sana kwenda kuongea na familia ya Binti na swaga pia wanazo mpaka Binti anakubali Hadi familia yake.
Muoe huyo Binti anakufaa Kwanza Bado Damu yake inachemka Miaka 19.Na umeshasema anakuheshimu na yupo Tayari kuishi na wewe japo wewe ni mkulima. Hiyo ni bahati mkuu.Sina mengi nawatakia familia njema mzae mkajaze Dunia hii.
Iwe sura liwe tako, ndiyo umposti? Unakaribisha mwenyewe kuliwa mkeo, usiseme hatujakuonya.Mkuu sura pia ina matter kwenye kuoa.
Vipi wewe unashaurije kuhusu swala hilo la kutafutiwa mchumba
Sura haitatunza ndoa Wala kukulea watoto Na wewe angalia Tabia njemaMkuu sura pia ina matter kwenye kuoa.
Vipi wewe unashaurije kuhusu swala hilo la kutafutiwa mchumba
Mateso hayo.Rc ukishaweka umeweka labda ukatafute mchepuko
Fresh niadjeeImekuaje tena?
Achana nae mtu mwenyewe anaitwa Janeth😂Imekuaje tena?
Wewe mchukue huyo utaleta mrejesho humu......ndoa za Zamani zilidumu wazee walikua wanawachagulia Vijana mke wa kuoa au mume wa kuolewa nae walikua wanamjua vizuri kijana ....sasaiv watu wanajichagulia wanajikuta wanachagua MTU asiyefaaa....tambua ndoani unaishi Na Tabia Ya MTU utu wake...Huo muonekane wa nje utazuzuka nao Kwa Muda mfupi tu mkishakaa Muda hautazuzuka kiivo...above all MTU ata awe mzur vipi akikutibua nyongo au akaanza kukuletea ghasia Huo uzuri hutauonaNawewe uliwahi tafutiwa