Nipo katikati sijui nichukue uamuzi gani. Msaada!

Nipo katikati sijui nichukue uamuzi gani. Msaada!

Wewe mchukue huyo utaleta mrejesho humu......ndoa za Zamani zilidumu wazee walikua wanawachagulia Vijana mke wa kuoa au mume wa kuolewa nae walikua wanamjua vizuri kijana ....sasaiv watu wanajichagulia wanajikuta wanachagua MTU asiyefaaa....tambua ndoani unaishi Na Tabia Ya MTU utu wake...Huo muonekane wa nje utazuzuka nao Kwa Muda mfupi tu mkishakaa Muda hautazuzuka kiivo...above all MTU ata awe mzur vipi akikutibua nyongo au akaanza kukuletea ghasia Huo uzuri hutauona
Ahsante kwa maelezo. Ngoja nimkubali nitoe posa Mungu aongoze njia kama kapanga kweli tuwe pamoja
 
Kijana we muoe tu huwezi jua yawezekana kitabia yupo vzur wanamfahamu ndio mana wanakusihi umuoe ila kama mambo yatakuwa magumu uko mbele si utapiga chini tu
 
Sura haitatunza ndoa Wala kukulea watoto Na wewe angalia Tabia njema
Pamoja na tabia tuache unafiki hamna mwanaume asiyependa binti mrembo. Mwisho wa siku inaishia umeoa na bado unamcheat mkewe kwakutafuta michepuko. Kama machoni mwanamke hajakufurahisha usiwazie kumuoa utamtesa tu binti wa watu.
 
Pamoja na tabia tuache unafiki hamna mwanaume asiyependa binti mrembo. Mwisho wa siku inaishia umeoa na bado unamcheat mkewe kwakutafuta michepuko. Kama machoni mwanamke hajakufurahisha usiwazie kumuoa utamtesa tu binti wa watu.
Binti huyu ni mrembo wa kijijini akija mjini akala upepo atakua bonge la pisi
 
Wakuu mm niko late 20s sasa bibi angu mzaa baba amekua akinisisitiza swala la kuoa ila namkwepa.
Nilivyoenda nyumban bibi alienda kwa kaka zake kijijini akakodineti mipango kwa binti fulani hivi. Yaani huyo binti kaka zake wote wanamsifia kwamba ni mchapakazi, Ana heshima, Sio muongeaji sana, ni mchaMungu nk .
Nilienda kumuangalia nikaongea nae. Anatazamika na anapostika kiasi.

Wakuu naomba mnipe ushauri hivi mke wa kutafutiwa anaweza kua bora kuliko ambae nitajitafutia?
-Yaani naokopa kumkataa maana wajomba zake baba wananisisitiza sana kwamba kwa jinsi wanavyomjua yule binti nitakua nimepata mdada mwema.
- Je wakuu nifanyeje.
Duu hapo pagumu sana… haya mambo muda mwingine ni kama kubet muda mwingine unaweza kutafutiwa mambo yakagoma na unaweza kutafuta mwenyewe mambo yakawa safi…
Na kuna waliotafutiwa wake toka zamani wakadumu na zamani wazazi walikuwa wanachagulia watoto wao wenza…..!

Ila nakushauri ukae utafakari kwa kina ukimridhia weka chombo ndani
 
Owa wewe, unataka mke wa kumposti ili iweje? Au unawaolea wengine?
FaizaFoxy una binti yeyote unaweza niozesha? Kwa ninavyo kusoma lazima binti yako atakuwa na maadili sana…naomba unisaidie…kama ukikosa mtoto basi hata wewe😄😄😄
 
Mimi hawakuishia kunichagulia tu, bali nililazimishwa kabisa.

Nilikataa sana na baadae ikanilazimu kuridhia.

Aisee!. Nikiri wazi kuwa hakika nimepata mwanamke wa tofauti kabisa. Mwanamke bora, mtiivu na hakika mwenye upendo uliopitiliza.

Sisemi kuwa huyo wako naye atakuwa bora, ila tabia ya mtu huonekana hadharani. Kinachobaki na kitakachoamua mustakabali wa baadae ni maono yake mwenyewe.

Jisomee hapa;
Ndoa ya kulazimishwa yageuka tamu na yenye baraka
Maono hayabadilishi tabia, i second you
 
Updates...
_
Jana nimeenda kumuona tena nikiri kwamba huyu binti ni pisi ya maana sana. Yaani wazee wamechagua aina ileile nayoipenda hafu tunafanana vituvingi kimuonekano. JJJana nimepeleka kishika uchumba. Nilienda na mashahid 7 wote wamemkubali binti.
Familia yangu yote yamtaka huyuhuyu ndio nioe. Mniombee nitaleta mrejesho one day!
Hata unayemtaka bado inaonekana hatokuwa BORA.

Hutaki kuoa?Hupendi kula uroda?Hupendi kuishi na mke mkibadilishana ujingaujinga wenu kimaisha?Oa kijana.Au unaogopa huyo binti atakuchezea akuache?

Hamna muoaji hapo

Sasa wewe wabambikizie Hadi mahari...jifanye huna mahari wajomba watamaliza...

Huyo ndio atakufaa sio wakupeana namba kwenye daladala

Mimi hawakuishia kunichagulia tu, bali nililazimishwa kabisa.

Nilikataa sana na baadae ikanilazimu kuridhia.

Aisee!. Nikiri wazi kuwa hakika nimepata mwanamke wa tofauti kabisa. Mwanamke bora, mtiivu na hakika mwenye upendo uliopitiliza.

Sisemi kuwa huyo wako naye atakuwa bora, ila tabia ya mtu huonekana hadharani. Kinachobaki na kitakachoamua mustakabali wa baadae ni maono yake mwenyewe.

Jisomee hapa;
Ndoa ya kulazimishwa yageuka tamu na yenye baraka
 
Updates...
_
Jana nimeenda kumuona tena nikiri kwamba huyu binti ni pisi ya maana sana. Yaani wazee wamechagua aina ileile nayoipenda hafu tunafanana vituvingi kimuonekano. JJJana nimepeleka kishika uchumba. Nilienda na mashahid 7 wote wamemkubali binti.
Familia yangu yote yamtaka huyuhuyu ndio nioe. Mniombee nitaleta mrejesho one day!
All the best......

Karibu uwanja wa vita(ndoa)
 
Back
Top Bottom