Nipo kiwandani Mtibwa, Turiani; umeme umekatika mara kumi toka saa kumi na mbili mpaka muda huu

Nipo kiwandani Mtibwa, Turiani; umeme umekatika mara kumi toka saa kumi na mbili mpaka muda huu

Idara ya usalama wa taifa anzeni kuchambua ubora wa huduma za tanesco kwa watanzania vinginevyo mtamfanya mama alaumiwe bure.
 
Mpaka muda huu nipo turiani kwasasa umeme unawaka si ajabu haya majinga yamesoma uzi wangu. Mkifanya hivi hamumsaidii rais ila mnamuhujumu. Kama hamtaki tuamini ni hujuma mseme shida yenu ninini?

Mvua zisiponyesha mnasingizia ukame zikinyesha mnasingizia ninini?
 
Umeme sio Siasa mzee kama Mitambo na Miundo Mbinu ni chakavu huwezi kuzuia izo Outages, tofauti na kipindi Cha mwendezake kwa sasa outages zikitokea public inakuwa informed
Lakini amini kuwa Tanesco linaenda kuwa shirika bora miongoni mwa mashirika ya Umma its matter of time ila Statergic na plan tayari zimeanza kuwa implemented
Hujaeleweka....
 
Umeme sio Siasa mzee kama Mitambo na Miundo Mbinu ni chakavu huwezi kuzuia izo Outages, tofauti na kipindi Cha mwendezake kwa sasa outages zikitokea public inakuwa informed
Lakini amini kuwa Tanesco linaenda kuwa shirika bora miongoni mwa mashirika ya Umma its matter of time ila Statergic na plan tayari zimeanza kuwa implemented
....Uko TANESCO?....
 
Hao wanaohangaika na mwendazake.waulize elimu zao.

Na hata kipindi cha mwendazake umeme ulikatika sana tu isipokua sio lahisi mtu kusema.kwajinsi watu.walivyominywa uhuru wao wa kuongea.
Hivyo watanzania bado elimu,uelewa hata uwezo wa akili zao ni chini sana.
Kumbe walitakiwa waminywe zaidi.pumbavu kabisa.
Sawa, wakati wa Mwenfa zake John ulikuwa pia unakatika, lakini sio kwa Spidi hii!!
 
Shida ya umeme wa tanzania ninini? Je ni
siasa?
Tanesco?
Maji?
Gesi?
Mitambo chakavu?
Hujuma?

Au nini? Mimi nilijua shida hii ipo maeneo ya mjini tu kukatikakatika kwa umeme ila sasa nimekuja huku turiani mtibwa leo tu jioni mpaka muda huu umeme umekatika mara kumi sasa shida ninini?

Mbaya zaidi watu wanasema angekuwepo magufuli umeme usingekatika! Sasa mama samia suluhu hassan rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania kazi kwako.
Ili uweze kusaidiwa andika kitu kinachoeleweka, siku moja huwa na saa kumi na mbili asubuhi na saa kumi na mbili jioni, sasa wewe ni saa kumi na mbili ipi mpaka muda huu ambao sisi hatuuoni! Acha ghadhabu uandikapo, tulia andika kitu sahihi kitakachoeleweka.
 
Shida ya umeme wa tanzania ninini? Je ni
siasa?
Tanesco?
Maji?
Gesi?
Mitambo chakavu?
Hujuma?

Au nini? Mimi nilijua shida hii ipo maeneo ya mjini tu kukatikakatika kwa umeme ila sasa nimekuja huku turiani mtibwa leo tu jioni mpaka muda huu umeme umekatika mara kumi sasa shida ninini?

Mbaya zaidi watu wanasema angekuwepo magufuli umeme usingekatika! Sasa mama samia suluhu hassan rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania kazi kwako.
Umeme haukatiki wenyewe

Unakatwa

Weka record sawa
 
Umeme sio Siasa mzee kama Mitambo na Miundo Mbinu ni chakavu huwezi kuzuia izo Outages, tofauti na kipindi Cha mwendezake kwa sasa outages zikitokea public inakuwa informed

Lakini amini kuwa Tanesco linaenda kuwa shirika bora miongoni mwa mashirika ya Umma its matter of time ila Statergic na plan tayari zimeanza kuwa implemented
Hizi porojo na huu ujinga ulikuwepo awamu ya nne
 
🐒🐒🐒
0_20220223_195313.jpg
 
Umeme sio Siasa mzee kama Mitambo na Miundo Mbinu ni chakavu huwezi kuzuia izo Outages, tofauti na kipindi Cha mwendezake kwa sasa outages zikitokea public inakuwa informed

Lakini amini kuwa Tanesco linaenda kuwa shirika bora miongoni mwa mashirika ya Umma its matter of time ila Statergic na plan tayari zimeanza kuwa implemented
Informed wapi mzee wakati huku mwanza tuna Mgao wa kimya kimya toka ijumatatu mpaka leo. Ni mgao wa kuanzia saa mbili asubui mpaka saa moja kasoro ndo wanarudisha umeme TANESCO shida nini mbona hamtuambii
 
Upo sawa lakini mkuu?
Kati ya mimi,wewe ambae Samia ni Rais wako mpendwa na Samia ambae aliahidi mwezi March 2021 kuwa ni mwisho wa umeme kukatika nchini halafu leo huko Turiani umeme umeshakatika mara kumi ni nani ambae hayupo sawa?
 
Nani kakudanganya kuwa kipindi cha Magu umeme haukuwa unakatika?
Hivi uliisikia kauli ya Makamba? Makamba alisema kwa kinywa chake "zamani umeme ulikuwa haukatiki mara kwa mara sababu walikuwa hawafanyi schedule maintenance..........".

Wabunge wakamwomba atoe, sheet yenye maelezo ya maintenance miaka mitano iliyopita hajatoa, labda may be mitambo ilikuwa ina muogopa Magu.
 
Kati ya mimi,wewe ambae Samia ni Rais wako mpendwa na Samia ambae aliahidi mwezi March 2021 kuwa ni mwisho wa umeme kukatika nchini halafu leo huko Turiani umeme umeshakatika mara kumi ni nani ambae hayupo sawa?
Samia anaendelea na mambo yake ila wewe bado unaendelea kupost kitu kile kile kila siku na zaidi ya mara moja, ndio maana nakuuliza upo sawa? kwa mtu mwenye akili ya sawa sawa angekwisha choka kufanya hicho unachofanya wewe au hizo likes unazopata ndio burudani kwako?

Nimeona muda mrefu sana haipiti siku bila kurudia kupost hako kapicha.
 
na umeme usipokatika kwa muda mrefu pia msifie serikali
 
Back
Top Bottom