Mtu Fodontino
JF-Expert Member
- May 9, 2021
- 351
- 558
Siasa hadi kwenye uneme duuuhUmeme sio Siasa mzee kama Mitambo na Miundo Mbinu ni chakavu huwezi kuzuia izo Outages, tofauti na kipindi Cha mwendezake kwa sasa outages zikitokea public inakuwa informed
Lakini amini kuwa Tanesco linaenda kuwa shirika bora miongoni mwa mashirika ya Umma its matter of time ila Statergic na plan tayari zimeanza kuwa implemented