Mtu Fodontino
JF-Expert Member
- May 9, 2021
- 351
- 558
Siasa hadi kwenye uneme duuuhUmeme sio Siasa mzee kama Mitambo na Miundo Mbinu ni chakavu huwezi kuzuia izo Outages, tofauti na kipindi Cha mwendezake kwa sasa outages zikitokea public inakuwa informed
Lakini amini kuwa Tanesco linaenda kuwa shirika bora miongoni mwa mashirika ya Umma its matter of time ila Statergic na plan tayari zimeanza kuwa implemented
Kuna Mambo hayako sawa nchini mwetu. Na wahusika hawataki kujiweka huru kwa kusema ukweli.Mwekezaji gani aje awekeze gizani?
Kati ya mimi,wewe ambae Samia ni Rais wako mpendwa na Samia ambae aliahidi mwezi March 2021 kuwa ni mwisho wa umeme kukatika nchini halafu leo huko Turiani umeme umeshakatika mara kumi ni nani ambae hayupo sawa?
Shida ya umeme wa Tanzania ni nini? Je, ni
Siasa?
Tanesco?
Maji?
Gesi?
Mitambo chakavu?
Hujuma?
Au nini? Mimi nilijua shida hii ipo maeneo ya mjini tu kukatikakatika kwa umeme ila sasa nimekuja huku Turiani, Mtibwa leo tu jioni mpaka muda huu umeme umekatika mara kumi sasa shida ni nini?
Mbaya zaidi watu wanasema angekuwepo Magufuli umeme usingekatika! Sasa mama Samia Suluhu Hassan Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania kazi kwako.
Unataka kusema miaka yote aliyoongoza dictator kulikua hamna outages zimeanza kutokea baada ya yeye kufa !?Umeme sio Siasa mzee kama Mitambo na Miundo Mbinu ni chakavu huwezi kuzuia izo Outages, tofauti na kipindi Cha mwendezake kwa sasa outages zikitokea public inakuwa informed
Lakini amini kuwa Tanesco linaenda kuwa shirika bora miongoni mwa mashirika ya Umma its matter of time ila Statergic na plan tayari zimeanza kuwa implemented