Nipo kwa rafiki yangu naye ana rafiki mwingine ambae akija ananisema kwa mafumbo sana eti nimekaa sana sitoi hata hela ya chakula

Nipo kwa rafiki yangu naye ana rafiki mwingine ambae akija ananisema kwa mafumbo sana eti nimekaa sana sitoi hata hela ya chakula

Kwani kukwambia live? Kama hajakwambia live jua anakuogopa hivyo endelea kumuumiza kihisia.

Mkiwa wote anzisha hata vijimaneno vya kichokozi, sema nina hamu ya pizza ila hela tu ndio sina.
😂😂😂😂😂Ngoja nijaribu
 
Wanawake ua mnakiwango kidogo sana cha kuvumiliana na kubebana wakat masela mtu anakaa mpka anakarbia kuoa ndio anakupsha sasa nyie wik mbil tu midomo ishaanza
 
Hii kauli ya ubishani huwa inatoka kwa mwanaume tu...
Labda kama unanogesha stori au ni mwanaume ila umejisahau kwenye stori ya kutunga
Sina muda wa kueleza jinsia yangu kila siku
 
Siwezi ishi nje ya kwangu na kwa wazazi afu nikawa comfortable.

Ntajihisi nna hatia ya kuharibu ratiba za familia ya watu, hata kwa ndugu huwa siendi mara kwa mara, na nikienda hazizidi cku 3 naaga kuondoka.

Napenda uhuru na amani.

Wee fanya uondoke hapo, huyo rafiki ako kashakuchoka na anaogopa kukuchana, ndo anamtumia huyo mwenzie. Toka nduki hapo.
Ngoja nitafute nauli
 
Sio kila kitu cha kufikirika unapost ni bora upost nyuzi moja Kwa mwaka Ila iwe na mashiko maana mmezidi sasa , mauongo ,kutafuta attention n.k Kama tupo Facebook yaani
 
Jamani rafiki yangu wa kike aliniita nikampe company na hii naingia wiki pili ila ana rafiki mwingine ambae akija ananisema kwa mafumbo sana eti nimekaa sana sitoi chochote ata Hela ya chakula ....
NB.(Aliniita mwenyewe)

Ila Mimi nakausha kama sitambui lolote ila moyoni naona aibu....

Hii kusemwa inamaanisha sitakiwi au?
Rafiki yako kashindwa kukwambia directly kuwa kakuchoka hivyo anamtumia rafiki yake kukufikishia ujumbe.

Ugeni hukoma rasmi baada ya siku ya 3. Kuendelea mbele ya hapo wewe ni mkazi hivyo unapaswa kushiriki kikamilifu katika hiyo nyumba/chumba ikiwemo kuchangia chakula.

Hata kama umeitwa kuna baadhi ya vitu inapaswa ujiongeze.

Suluhisho hapo, kusanya virago vyako urudi ulikotoka. Ugeni wako ushachokwa hapo.
 
Jamani rafiki yangu wa kike aliniita nikampe company na hii naingia wiki pili ila ana rafiki mwingine ambae akija ananisema kwa mafumbo sana eti nimekaa sana sitoi chochote ata Hela ya chakula ....
NB.(Aliniita mwenyewe)

Ila Mimi nakausha kama sitambui lolote ila moyoni naona aibu....

Hii kusemwa inamaanisha sitakiwi au?
Inaonesha unakaa sana kujishebedua JF bila hata kumfulia nguo boss wako. Achana na simu anza kufanya kazi kama Housegirl
 
Back
Top Bottom