Nipo kwa rafiki yangu naye ana rafiki mwingine ambae akija ananisema kwa mafumbo sana eti nimekaa sana sitoi hata hela ya chakula

Nipo kwa rafiki yangu naye ana rafiki mwingine ambae akija ananisema kwa mafumbo sana eti nimekaa sana sitoi hata hela ya chakula

Jamani rafiki yangu wa kike aliniita nikampe company na hii naingia wiki pili ila ana rafiki mwingine ambae akija ananisema kwa mafumbo sana eti nimekaa sana sitoi chochote ata Hela ya chakula ....
NB.(Aliniita mwenyewe)

Ila Mimi nakausha kama sitambui lolote ila moyoni naona aibu....

Hii kusemwa inamaanisha sitakiwi au?
Kama huyo third party anayesema hayo mbele ya huyo mwenyeji wako naye mwenyeji wako hatii neno ujue mwenyeji wako ndiye amemtuma, jikate fasta umechokwa.
 
Kama huyo third party anayesema hayo mbele ya huyo mwenyeji wako naye mwenyeji wako hatii neno ujue mwenyeji wako ndiye amemtuma, jikate fasta umechokwa.
Mwenyeji alikuwa anasema eti amelewa nimueleww nisikasrike
 
Jamani rafiki yangu wa kike aliniita nikampe company na hii naingia wiki pili ila ana rafiki mwingine ambae akija ananisema kwa mafumbo sana eti nimekaa sana sitoi chochote ata Hela ya chakula ....
NB.(Aliniita mwenyewe)

Ila Mimi nakausha kama sitambui lolote ila moyoni naona aibu....

Hii kusemwa inamaanisha sitakiwi au?
Alikuita ukaenda hukutuambia humu jf, anakufukuza unakataa kuondoka unakuja kulialia humu jf. Kama umehamia kwake mwambie tuu akuoe.
 
Back
Top Bottom