Nipo kwenye basi hili lijamaa linasoma mgs zangu nimegeuza kamera nikalinasa

kwenyebus ni public space, na hasa kama mtu kasimama nyuma yako hilo tegemea , ushauri just browse other staffs na sio mesages, otherwise weka kwanza vizuio inama, au weka chini ya miguu. maan nyuma ya basi still kuna seat za watu unless ukae mwisho kabisa. utagombana na wengi. Pole sana
 
Mkuu ebu liangalie vizuri kabla kwanza alafu uniambie
Shingo kamaaa nini sijui

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi kuna lidada moja niliwahi ligundua linafanya hivyo hivyo kwenye basi nikalikabidhi simu lisome liridhike then linirudishie. Nadhani kituo alichoshuka hakupanga maana sister siti ya nyuma alimuungia kichambo cha ki-Mange mange.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli shingo kaelekeza na kadhamiria kussoma mesage zako. ukiwasha cmu tu au ipadkama kuna mtu akasimama lazima ageuke!! hilo huwezi kuzuia. labda uwe unakaa kiti cha mwisho kabisa ama dirishani ili cmu uelekeze dirishani. sanasana ukitaka asiangalia muelekezee jifany unajibu mesage kuza maandishi then mwandikie ACHA KUSOMA MESAGE ZANGU! SIO UUUNGWANA. Utaona anageuka mwenyewe!!
 
Mianaume ya Dar yani ni mioga sijapata kuona,sasa hicho kivulana ndio unaliita lijamaa?sasa ukionana na mijamaa ya huku kwetu Mara utaiitaje?alafu wewe ndiye upo nalo humo ndani ya gari why usilipe vitasa tu mmalizane ili kila mtu afe na chake?au unakaogopa?
 
mie huwa nikiona mtu anasoma msg naandika text unafaidi kitu gani kusoma msg zangu na maneno ya dharau ya kutosha. the najitumia ile text kwenye namba yangu mwenyewe. ukizima simu ikiwa nyeusi utamwona anageuka pembeni.
 
Hujamtendea haki maana kuna KUANGALIA, KUTAZAMA NA KUONA......wakati mwingine uso unaweza ukaulekeza sehemu lakini bado usione na hata kama mtu anakupungia mkono (kwenye bus mara nyingi wakati linatembea unakuta umeelekeza uso sehemu flani lakini akili inakuwa ime-relax kiasi kwamba haitafsiri vitu inavyoviona mpaka itokee kitu ambacho ni interesting / dharula aka unakuta umetoa macho aka umezubaa lakini si kwamba unaona
 
Wee ngoja wadau wanipandishe hasira wee ngoja tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…