Pre GE2025 Nipo kwenye hatua za mwisho za kusajili chama kipya cha siasa kitakachoing'oa CCM kabla 2025. Nahitaji vijana 10 tu kutoka kila mkoa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ndugu yangu ni vile hatujuani lakini karibu ofisini kwangu utaona maandalizi ya kutosha tuliyonayo ! Kuhusu vyombo vya habari Kila kitu kipo sawa ,tunategemea kwenda kwa msajili jumatatu kuwasilisha ombi letu ,tukitoka hapo tutajua namna ya kukutana na kuzungumza kulingana na taratibu za kisheria
 
Jina la chama na sera za chama hazitaundwa na mtu mmoja Bali zitatokana na mawazo ya wadau
Bwana mganguzi songa mbele, jikite zaidi kwenye sera za kuikwamua nchi ni sio sera za kulalama kila uchwao na kutukana watu, "Chama cha kisoshalisti cha jamuhuri ya watu wa Tanzania"
Jina hili litakipa nguvu chetu kipya. Maana ccm ni chama cha mapinduzi, kwa jina lake hakiishiki Tanzania kikamilifu.
 
= nimedhamiria

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…