Assalam aleikyum guys
Nipo kwenye wakati mgumu na mama mwenye nyumba ananitegatega kinoma ni mke wa mwenye nyumba na bwana ake ana hela za kutosha ila ndo hana muda na familia ake ye mitungi kwenda mbele na madem kibaooo
Sasa mkewe anajua mumewe itikadi zake zooote ila yuko kimyaa sasa naona ananizoea kwa kasi miksa kunirembulia kujibebisha bebisha Aaargh sijui hata nifanyeje
Nishaurini guys ila kuhama hapa ndo siwezi maana siwezi pata nyumba nzuri kama hii kwa uku nilipo
Mke wa mtu sumu ila akizidisha nitalinda UANAUME WANGU KWA KUFUTA KUDHARAULIKA BAADAE
Nipo kwenye wakati mgumu na mama mwenye nyumba ananitegatega kinoma ni mke wa mwenye nyumba na bwana ake ana hela za kutosha ila ndo hana muda na familia ake ye mitungi kwenda mbele na madem kibaooo
Sasa mkewe anajua mumewe itikadi zake zooote ila yuko kimyaa sasa naona ananizoea kwa kasi miksa kunirembulia kujibebisha bebisha Aaargh sijui hata nifanyeje
Nishaurini guys ila kuhama hapa ndo siwezi maana siwezi pata nyumba nzuri kama hii kwa uku nilipo
Mke wa mtu sumu ila akizidisha nitalinda UANAUME WANGU KWA KUFUTA KUDHARAULIKA BAADAE