Nipo kwenye wakati mgumu na mama mwenye nyumba

Nipo kwenye wakati mgumu na mama mwenye nyumba

Mimi kwenye huu umri wangu nilishawahi kula wake za watu ila sikushauri ufanye hovyo kwa kuwa inaonekana wewe na huyo mwanamke wote akili zenu ni kama tunda ya ubuyu.
1.swala la kula mke wa mtu ni swala linaweza fanya mtu yeyote miongoni mwenu kati ya hao watatu akapoteza maisha.
2.Ni jambo la fedheha kubwa kwenye maisha.
3.Ni mojawapo ya vitu Mungu hapendi,mtu kutembea na mke wa mtu.
4.ukifumaniwa na mke wa mtu ni ngumu sana mume wake kukusamehe.
5.pindi huyo mume wake akijua au akipata tetesi uhame mji ,hiyo itakulazimu kupoteza kazi au kuharibu mipango yako.
6.usiendelee kumzoea huyo mwanamke ,za mwizi ni arobaini .
7.jaribu kumhurumia huyo mama wa watu akikamatwa najua huwezi kumuoa ikitokea atafumaniwa .
8.kulala na mke wa mtu Kuna leta laana kwenye maisha yako.
9.kama huyo bwana ni tajiri na anakipato ,akikugundua utapotea kimya kimya .
10.Hakunaga Siri kwenye mapenzi.
11.wewe ni mpangaji tuu hapo,hujawekwa uwe hakimu wa ndoa ya mwenye nyumba wako,fanya maisha yako acha kuchumguza mambo ya watu.
12.
 
Ushasema mama mwenye Nyumba. Nisawa na Mama yako pale Nyumbani. Vuta picha Angalikua mama yako. Je? Ungaliweza fanya hayo. Kwahiyo Fikla hizo ziacha Iga Mfano Mzuri kwa Nabii Yusuph (A.S.W) Alivoishi na Mama kama huyo
 
Chukua nafasi Tu,,ya Kuwa Baba mwenye Nyumba,,Usie na Uwezo,Mtu wa mitungi na mademu kibao.
 
Ogopa sana mtu anaejifanya hajali mke huku bado anaishi nae,huwa wana intelijinsia kali mno!.....you're about to get rainbowed!
 
Assalam aleikyum guys

Nipo kwenye wakati mgumu na mama mwenye nyumba ananitegatega kinoma ni mke wa mwenye nyumba na bwana ake ana hela za kutosha ila ndo hana muda na familia ake ye mitungi kwenda mbele na madem kibaooo

Sasa mkewe anajua mumewe itikadi zake zooote ila yuko kimyaa sasa naona ananizoea kwa kasi miksa kunirembulia kujibebisha bebisha Aaargh sijui hata nifanyeje

Nishaurini guys ila kuhama hapa ndo siwezi maana siwezi pata nyumba nzuri kama hii kwa uku nilipo

Mke wa mtu sumu ila akizidisha nitalinda UANAUME WANGU KWA KUFUTA KUDHARAULIKA BAADAE
Achana na Mke wa Mtu..Linda marinda yako
 
Assalam aleikyum guys

Nipo kwenye wakati mgumu na mama mwenye nyumba ananitegatega kinoma ni mke wa mwenye nyumba na bwana ake ana hela za kutosha ila ndo hana muda na familia ake ye mitungi kwenda mbele na madem kibaooo

Sasa mkewe anajua mumewe itikadi zake zooote ila yuko kimyaa sasa naona ananizoea kwa kasi miksa kunirembulia kujibebisha bebisha Aaargh sijui hata nifanyeje

Nishaurini guys ila kuhama hapa ndo siwezi maana siwezi pata nyumba nzuri kama hii kwa uku nilipo

Mke wa mtu sumu ila akizidisha nitalinda UANAUME WANGU KWA KUFUTA KUDHARAULIKA BAADAE
Kamwe usile mke wa mtu wa mtaani ni sumu
 
mke wa mtu unapiga mara moja tu na hutakiwei kurudia tena. ukizubua zibua hadi mtaroni maana ukikamatwa pia mtaro wako utazibuliwa. KILA LA HERI MKUU
 
Assalam aleikyum guys

Nipo kwenye wakati mgumu na mama mwenye nyumba ananitegatega kinoma ni mke wa mwenye nyumba na bwana ake ana hela za kutosha ila ndo hana muda na familia ake ye mitungi kwenda mbele na madem kibaooo

Sasa mkewe anajua mumewe itikadi zake zooote ila yuko kimyaa sasa naona ananizoea kwa kasi miksa kunirembulia kujibebisha bebisha Aaargh sijui hata nifanyeje

Nishaurini guys ila kuhama hapa ndo siwezi maana siwezi pata nyumba nzuri kama hii kwa uku nilipo

Mke wa mtu sumu ila akizidisha nitalinda UANAUME WANGU KWA KUFUTA KUDHARAULIKA BAADAE
Tunza malinda kijana.
 
Assalam aleikyum guys

Nipo kwenye wakati mgumu na mama mwenye nyumba ananitegatega kinoma ni mke wa mwenye nyumba na bwana ake ana hela za kutosha ila ndo hana muda na familia ake ye mitungi kwenda mbele na madem kibaooo

Sasa mkewe anajua mumewe itikadi zake zooote ila yuko kimyaa sasa naona ananizoea kwa kasi miksa kunirembulia kujibebisha bebisha Aaargh sijui hata nifanyeje

Nishaurini guys ila kuhama hapa ndo siwezi maana siwezi pata nyumba nzuri kama hii kwa uku nilipo

Mke wa mtu sumu ila akizidisha nitalinda UANAUME WANGU KWA KUFUTA KUDHARAULIKA BAADAE


Kifo kinakuita haraka sanaaaa, naona unacheza cheza wewe mtoto mdogo, utakufa siku sio zako, achana na usenge, wanawake wako kibao wasio olewa, unaenda kutaka kufuata mke wa mtu, utakufa ukijiona mchana
 
Assalam aleikyum guys

Nipo kwenye wakati mgumu na mama mwenye nyumba ananitegatega kinoma ni mke wa mwenye nyumba na bwana ake ana hela za kutosha ila ndo hana muda na familia ake ye mitungi kwenda mbele na madem kibaooo

Sasa mkewe anajua mumewe itikadi zake zooote ila yuko kimyaa sasa naona ananizoea kwa kasi miksa kunirembulia kujibebisha bebisha Aaargh sijui hata nifanyeje

Nishaurini guys ila kuhama hapa ndo siwezi maana siwezi pata nyumba nzuri kama hii kwa uku nilipo

Mke wa mtu sumu ila akizidisha nitalinda UANAUME WANGU KWA KUFUTA KUDHARAULIKA BAADAE
Unaonekana bado una umri mdogo sana. Kama uyasemayo ni yakweli basi chukua ushauri wangu huu...HAMA. Ukiendekeza tamaa itakuponza
 
Back
Top Bottom