Funny boe
JF-Expert Member
- Mar 26, 2023
- 1,319
- 2,334
Tuondoke zetu tu mwanetuila akizidisha nitalinda UANAUME WANGU KWA KUFUTA KUDHARAULIKA BAADAE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuondoke zetu tu mwanetuila akizidisha nitalinda UANAUME WANGU KWA KUFUTA KUDHARAULIKA BAADAE
Assalam aleikyum guys
Nipo kwenye wakati mgumu na mama mwenye nyumba ananitegatega kinoma ni mke wa mwenye nyumba na bwana ake ana hela za kutosha ila ndo hana muda na familia ake ye mitungi kwenda mbele na madem kibaooo
Sasa mkewe anajua mumewe itikadi zake zooote ila yuko kimyaa sasa naona ananizoea kwa kasi miksa kunirembulia kujibebisha bebisha Aaargh sijui hata nifanyeje
Nishaurini guys ila kuhama hapa ndo siwezi maana siwezi pata nyumba nzuri kama hii kwa uku nilipo
Mke wa mtu sumu ila akizidisha nitalinda UANAUME WANGU KWA KUFUTA KUDHARAULIKA BAADAE
Huwezi kuonesha uanaume wako kwa mke wa mtu. Ukitaka kufuta dharau, tafuta mwanamke oa, weka ndani.Assalam aleikyum guys
Nipo kwenye wakati mgumu na mama mwenye nyumba ananitegatega kinoma ni mke wa mwenye nyumba na bwana ake ana hela za kutosha ila ndo hana muda na familia ake ye mitungi kwenda mbele na madem kibaooo
Sasa mkewe anajua mumewe itikadi zake zooote ila yuko kimyaa sasa naona ananizoea kwa kasi miksa kunirembulia kujibebisha bebisha Aaargh sijui hata nifanyeje
Nishaurini guys ila kuhama hapa ndo siwezi maana siwezi pata nyumba nzuri kama hii kwa uku nilipo
Mke wa mtu sumu ila akizidisha nitalinda UANAUME WANGU KWA KUFUTA KUDHARAULIKA BAADAE
Hali ni ngumu ila pambana upate hela ya kodi usijidanganye kwamba ukimega mama mwenye nyumba ndo utaishi bure no!Assalam aleikyum guys
Nipo kwenye wakati mgumu na mama mwenye nyumba ananitegatega kinoma ni mke wa mwenye nyumba na bwana ake ana hela za kutosha ila ndo hana muda na familia ake ye mitungi kwenda mbele na madem kibaooo
Sasa mkewe anajua mumewe itikadi zake zooote ila yuko kimyaa sasa naona ananizoea kwa kasi miksa kunirembulia kujibebisha bebisha Aaargh sijui hata nifanyeje
Nishaurini guys ila kuhama hapa ndo siwezi maana siwezi pata nyumba nzuri kama hii kwa uku nilipo
Mke wa mtu sumu ila akizidisha nitalinda UANAUME WANGU KWA KUFUTA KUDHARAULIKA BAADAE
Mm matukio yakuwala wake za watu ninayo mengi muno, mpaka kuendelea kuwepo dunian ni makusudi yake mola, kuna siku nilikwepa panga[emoji25] , kesho yake nikaamkia kanisan kutubu dhambi, mpaka saiv nishaapa kugusa mke wa mtu hata awe pisi kama malaika siwezi.Assalam aleikyum guys
Nipo kwenye wakati mgumu na mama mwenye nyumba ananitegatega kinoma ni mke wa mwenye nyumba na bwana ake ana hela za kutosha ila ndo hana muda na familia ake ye mitungi kwenda mbele na madem kibaooo
Sasa mkewe anajua mumewe itikadi zake zooote ila yuko kimyaa sasa naona ananizoea kwa kasi miksa kunirembulia kujibebisha bebisha Aaargh sijui hata nifanyeje
Nishaurini guys ila kuhama hapa ndo siwezi maana siwezi pata nyumba nzuri kama hii kwa uku nilipo
Mke wa mtu sumu ila akizidisha nitalinda UANAUME WANGU KWA KUFUTA KUDHARAULIKA BAADAE
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shauri yake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo mtotoo, huyo mtoto huyooo[emoji16]....
mtoto kautaa...mtoto kautakaa x3
Nimeipenda hiiMimi kwenye huu umri wangu nilishawahi kula wake za watu ila sikushauri ufanye hovyo kwa kuwa inaonekana wewe na huyo mwanamke wote akili zenu ni kama tunda ya ubuyu.
1.swala la kula mke wa mtu ni swala linaweza fanya mtu yeyote miongoni mwenu kati ya hao watatu akapoteza maisha.
2.Ni jambo la fedheha kubwa kwenye maisha.
3.Ni mojawapo ya vitu Mungu hapendi,mtu kutembea na mke wa mtu.
4.ukifumaniwa na mke wa mtu ni ngumu sana mume wake kukusamehe.
5.pindi huyo mume wake akijua au akipata tetesi uhame mji ,hiyo itakulazimu kupoteza kazi au kuharibu mipango yako.
6.usiendelee kumzoea huyo mwanamke ,za mwizi ni arobaini .
7.jaribu kumhurumia huyo mama wa watu akikamatwa najua huwezi kumuoa ikitokea atafumaniwa .
8.kulala na mke wa mtu Kuna leta laana kwenye maisha yako.
9.kama huyo bwana ni tajiri na anakipato ,akikugundua utapotea kimya kimya .
10.Hakunaga Siri kwenye mapenzi.
11.wewe ni mpangaji tuu hapo,hujawekwa uwe hakimu wa ndoa ya mwenye nyumba wako,fanya maisha yako acha kuchumguza mambo ya watu.
12.
Jaivah peleka motooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu,Assalam aleikyum guys
Nipo kwenye wakati mgumu na mama mwenye nyumba ananitegatega kinoma ni mke wa mwenye nyumba na bwana ake ana hela za kutosha ila ndo hana muda na familia ake ye mitungi kwenda mbele na madem kibaooo
Sasa mkewe anajua mumewe itikadi zake zooote ila yuko kimyaa sasa naona ananizoea kwa kasi miksa kunirembulia kujibebisha bebisha Aaargh sijui hata nifanyeje
Nishaurini guys ila kuhama hapa ndo siwezi maana siwezi pata nyumba nzuri kama hii kwa uku nilipo
Mke wa mtu sumu ila akizidisha nitalinda UANAUME WANGU KWA KUFUTA KUDHARAULIKA BAADAE
Unafikiri myaishia kukulama Mara moja tu?Assalam aleikyum guys
Nipo kwenye wakati mgumu na mama mwenye nyumba ananitegatega kinoma ni mke wa mwenye nyumba na bwana ake ana hela za kutosha ila ndo hana muda na familia ake ye mitungi kwenda mbele na madem kibaooo
Sasa mkewe anajua mumewe itikadi zake zooote ila yuko kimyaa sasa naona ananizoea kwa kasi miksa kunirembulia kujibebisha bebisha Aaargh sijui hata nifanyeje
Nishaurini guys ila kuhama hapa ndo siwezi maana siwezi pata nyumba nzuri kama hii kwa uku nilipo
Mke wa mtu sumu ila akizidisha nitalinda UANAUME WANGU KWA KUFUTA KUDHARAULIKA BAADAE
mambo mrembochunga sana ndugu
saf 2mambo mrembo
mmiliki akisema ntabadilishaandika vizuri basi tuelewane.
JF haitaki miandiko ya hivi