Acha tamaaWadau mm niko na mshkaji wangu sio msikajii sanaaa jamaa mwenyewe chapombe sanaaa analewa mpaka anazima sasa iko hivi huyoo jamaaa ana demu wake sio mke ni demu kaazaa nae sasa huyoo demu yaaan ananikubali sana anatak nipite na yeye sasa hapa geto kwangu jamaaa huwa anapajuaa na anakuja sana sasa nahofia huyuu demu wake niimuungize hapo mda gani usiku mchana maaan demu kashaaelekea kibla anasema anataka ajee kwangu apajuee maan jamaaa ndio anapajuaa ila demu hapajuii sasa nimlete hapa au niende nae Lodge au niachane nae tuuu
Hakikisha hukosi hayo, Wahuni wasije kupasua nyuma huko.Wadau mm niko na mshkaji wangu sio msikajii sanaaa jamaa mwenyewe chapombe sanaaa analewa mpaka anazima sasa iko hivi huyoo jamaaa ana demu wake sio mke ni demu kaazaa nae sasa huyoo demu yaaan ananikubali sana anatak nipite na yeye sasa hapa geto kwangu jamaaa huwa anapajuaa na anakuja sana sasa nahofia huyuu demu wake niimuungize hapo mda gani usiku mchana maaan demu kashaaelekea kibla anasema anataka ajee kwangu apajuee maan jamaaa ndio anapajuaa ila demu hapajuii sasa nimlete hapa au niende nae Lodge au niachane nae tuuu
Sasa kama wame achana mkuu na hii imekaajeUsipende kutembea na wake/wanawake wa marafiki zenu, mbona wanawake wamejaa sana mitaani?
Sijui kwanini, ila it's not healthy kulala na mwanamke na unajua kabisa jamaa yake ni rafiki yako.
Huwezi kupata jibu la maana kutokana na ulivyokuja, pamoja na thread yako ilivyokaakaa kisengerema.Kivip sasa mkuu
kumbe wakati mgumu uliona nao ni upi? hapo unachotuuliza ukamlie geto au lodge, mwanamke wa jamaa yako kisa ni chapombe, huoni kwamba wewe ni bwege, na jamaa yako ambaye ni chapombe ana maana mpaka anamwanamke, wewe umeshindwaje kutafuta mwanamke wako?Sina maaan hiyoo
Pole bibie Carleen naweza kuja kukupoza na hasira za huyo mjinga?eti tena bila aibu umekazia 'siyo mke ni demu', acha upimbi mzee, we mshikaji siyo mwana wala nini..!!
huna kitu kingine cha maana cha kufanya kwenye maisha yako zaidi ya kutembea na mwanamke wa rafiki yako..??
Siwapendi marafiki mashwetani kama wewe basi tu, mnakuwaga jau na wasaliti kinoma..!!
'mpaka nimepata hasira kama za mabro'..!🙌
Mkuu na wewe unakubali kushirikishwa kwenye ushetani wake?Ratiba za mshkaji wako si unazo? Hakikisha unazijua kama huzijui
Ukishazijua najua unajua namna ya kumaliza mchezo