Nipo kwenye wakati mgumu

Nipo kwenye wakati mgumu

Yaan uko tiyari kuvunja urafiki na rafiki yako kisa nyapu ,hakika ww ni mpumbavu wa kiwango cha juu.
 
Mkuu na wewe unakubali kushirikishwa kwenye ushetani wake?

Kwa namna alivyoandika, tayari ashazini na huyo mwanamke.

Amekuja hapa kutafuta faraja ya kusherekea ushindi, hakuna mtu mzima anayekosa mbinu za kutimiza azima hiyo, mpaka aje kuuliza cha kufanya Jf.

Huyo anastahili kumuogesha matusi ya nguoni ili akili zimkae sawa.

Mkuu,unadhani nikikataa ndio hatafanya?

Nina uhakika pia alishafanya anachouliza ama amekuja kutafuta attention tu,kuwafanya wadau watokwe povu
 
Wadau mm niko na mshkaji wangu sio msikajii sanaaa jamaa mwenyewe chapombe sanaaa analewa mpaka anazima sasa iko hivi huyoo jamaaa ana demu wake sio mke ni demu kaazaa nae sasa huyoo demu yaaan ananikubali sana anatak nipite na yeye sasa hapa geto kwangu jamaaa huwa anapajuaa na anakuja sana sasa nahofia huyuu demu wake niimuungize hapo mda gani usiku mchana maaan demu kashaaelekea kibla anasema anataka ajee kwangu apajuee maan jamaaa ndio anapajuaa ila demu hapajuii sasa nimlete hapa au niende nae Lodge au niachane nae tuuu
Mbona wanawake wapo Kibao kwanini utembee na mwanamke wa rafiki yako? Je hayo unayomfanyia rafiki yako na wewe upo tiyari kutendewa hivyohivyo?
 
Achana nae kaka, despite of what ur buddy's behaviour is, u're not deserving to hurt him..
1. bado ni rafiki yako broh..
Qummer zipo kibao kaka, usigombane na mshikaji kwasabb ya kyuma..
2.win ur heart.. tamaa za mwili hazidumu kaka
Usiharibu urafiki wa miaka 12 kwa starehe ya masaa mawili..

3.ukihisi hicho kitu kingekuumiza kam ungekuwa position ya mwana basi acha usifanye..

4.usela kwanza mapenzi badae
Demu kama analeta slope zisizoeleweka weka usela mbele..
Mstue mwanao akiwa mzima, mwambie kila ktu alafu pangeni kumsuprise demu.
Mwite geto as if unataka kumla akijaa mwite mwanao akanyagie awakute wote hapo, kiranga na slope zote za dem zitaishia hapo..

Muumini wa urafiki wa Kweli🖐🖐
 
Wadau mm niko na mshkaji wangu sio msikajii sanaaa jamaa mwenyewe chapombe sanaaa analewa mpaka anazima sasa iko hivi huyoo jamaaa ana demu wake sio mke ni demu kaazaa nae sasa huyoo demu yaaan ananikubali sana anatak nipite na yeye sasa hapa geto kwangu jamaaa huwa anapajuaa na anakuja sana sasa nahofia huyuu demu wake niimuungize hapo mda gani usiku mchana maaan demu kashaaelekea kibla anasema anataka ajee kwangu apajuee maan jamaaa ndio anapajuaa ila demu hapajuii sasa nimlete hapa au niende nae Lodge au niachane nae tuuu
Ikifika Ijumaa jioni, hakikisha umeikabidhi simu kwa wazazi/walezi wako, halafu urudi zako shule. Full stop! Hizi mada zenu huwa zinatuchosha sana humu jukwaani. Ni vile tu huwa hamjui.
 
Tanzania kuna wanawake 31,687,990.

Hata ukiamua kila siku ulale na mwanamke mmoja utakufa ukiwa umelala na wanawake 36,600

Na hapo ni kama ulianza uzinzi tokea unazaliwa na umefanikiwa kuishi miaka 100.

Sasa wanawake wote hao ndio ukagonge mwanamke wa rafiki yako.

Hebu kuwa serious Mwamba.
 
Wadau mm niko na mshkaji wangu sio msikajii sanaaa jamaa mwenyewe chapombe sanaaa analewa mpaka anazima sasa iko hivi huyoo jamaaa ana demu wake sio mke ni demu kaazaa nae sasa huyoo demu yaaan ananikubali sana anatak nipite na yeye sasa hapa geto kwangu jamaaa huwa anapajuaa na anakuja sana sasa nahofia huyuu demu wake niimuungize hapo mda gani usiku mchana maaan demu kashaaelekea kibla anasema anataka ajee kwangu apajuee maan jamaaa ndio anapajuaa ila demu hapajuii sasa nimlete hapa au niende nae Lodge au niachane nae tuuu
Hivi wewe unaujua wakati mgumu kweli?
 
Tanzania kuna wanawake 31,687,990.

Hata ukiamua kila siku ulale na mwanamke mmoja utakufa ukiwa umelala na wanawake 36,600

Na hapo ni kama ulianza uzinzi tokea unazaliwa na umefanikiwa kuishi miaka 100.

Sasa wanawake wote hao ndio ukagonge mwanamke wa rafiki yako.

Hebu kuwa serious Mwamba.
Sasa mkuu what if labda wana miez Sita wame achana Ata Huyu nisitafune mkuu
 
Walevi mnagongewa sana, jinga nyie.. mkule tu akija amelewa mwambie umemfananisha
 
Mwanaume unayejitambua mwenye afya ya akili na mwili hauwezi hata kujaribu kuwaza kutembea na mke wa rafiki yako, ila kupanga ni kuchagua utavuna sawasawa na ulichopanga na kuchagua
 
Mimi nachojua utapata mikosi na Mishe zako zitaanza kukukwamia .
 
Naomba kwa utulivu niungane na wale waliosema "huna akili"maana ki uhalisia ni huna akili na pia uko na weak mind
 
Back
Top Bottom