Nipo kwenye wakati mgumu

Nipo kwenye wakati mgumu

Kuna kitu gani utapata tofauti na uchi wake uliojaa nuksi. Mikosi na STD.
 
Wadau mm niko na mshkaji wangu sio msikajii sanaaa jamaa mwenyewe chapombe sanaaa analewa mpaka anazima sasa iko hivi huyoo jamaaa ana demu wake sio mke ni demu kaazaa nae sasa huyoo demu yaaan ananikubali sana anatak nipite na yeye sasa hapa geto kwangu jamaaa huwa anapajuaa na anakuja sana sasa nahofia huyuu demu wake niimuungize hapo mda gani usiku mchana maaan demu kashaaelekea kibla anasema anataka ajee kwangu apajuee maan jamaaa ndio anapajuaa ila demu hapajuii sasa nimlete hapa au niende nae Lodge au niachane nae tuuu
Wewe ni mpumbavu kabisa kabisa.na wengine wote wa aina yako
 
Sema mkuu wangu nimesoma comment nyingi oya watu wamekulaani kichizi angalia usije fia kifuani mwa mke wa mtu 🥶
 
Sema mkuu wangu nimesoma comment nyingi oya watu wamekulaani kichizi angalia usije fia kifuani mwa mke wa mtu 🥶
Watu wamelaani maana watu kama hawa ni wapumbavu na wajinga madhara ambayo wanasanabisha huwa ni makubwa sana.
 
Watu wamelaani maana watu kama hawa ni wapumbavu na wajinga madhara ambayo wanasanabisha huwa ni makubwa sana.
Anajichukulia point kisa mwana mlevi mzee baba Hammer11 utakuja kuoteshwa mabusha😅 alafu kutibiwa kenyewe India uanze kutusumbua kupitisha bakuli la mchango jf
 
Back
Top Bottom