Nipo kwenye wakati mgumu

Kuna kitu gani utapata tofauti na uchi wake uliojaa nuksi. Mikosi na STD.
 
Wewe ni mpumbavu kabisa kabisa.na wengine wote wa aina yako
 
Sema mkuu wangu nimesoma comment nyingi oya watu wamekulaani kichizi angalia usije fia kifuani mwa mke wa mtu 🥶
 
Sema mkuu wangu nimesoma comment nyingi oya watu wamekulaani kichizi angalia usije fia kifuani mwa mke wa mtu 🥶
Watu wamelaani maana watu kama hawa ni wapumbavu na wajinga madhara ambayo wanasanabisha huwa ni makubwa sana.
 
Watu wamelaani maana watu kama hawa ni wapumbavu na wajinga madhara ambayo wanasanabisha huwa ni makubwa sana.
Anajichukulia point kisa mwana mlevi mzee baba Hammer11 utakuja kuoteshwa mabusha😅 alafu kutibiwa kenyewe India uanze kutusumbua kupitisha bakuli la mchango jf
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…