WeweNani Polisi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WeweNani Polisi?
Huoni sasa ni saa Saba kasoro dakika kumi. Naona ulipitiwa na usingizi mkali Sana.Yani kwa dakika hizi chache tayari wamefika mnazi mmoja?
Au labda yupo njianiWe rudi tu. Erythrocyte mwenyewe HAJULIKANI yuko wapi na hata "tarehe za juu" (updates) hatupi kama ilivyokuwa kabla ya maandamano!
Niwie radhi, mimi siwezi kuwa mtumwaWewe
Mkuu usinikatishe tamaa, bado naendelea kuwasakaHuoni sasa ni saa Saba kasoro dakika kumi. Naona ulipitiwa na usingizi mkali Sana.
Sawa mkuuNiwie radhi, mimi siwezi kuwa mtumwa
[emoji1787]Huoni watu vipi, kwani wewe sio mtu?.Nimefika hapa Magomeni, sioni watu wala kikundi cha watu, mkowapi ndugu zangu waandamanaji niungane nanyi?
Wenzio wako minazi mirefu we uko mmojaNimefika hapa Magomeni, sioni watu wala kikundi cha watu, mkowapi ndugu zangu waandamanaji niungane nanyi?
Ahaokkishe ana fagio la usafi[emoji1787]Huoni watu vipi, kwani wewe sio mtu?.
Wewe nimtupia mkuu, anzasafari mwenyewe watakukuta ukomnazimmoja.
Usikate tamaa. Ongeza mwendo ila jihadhari hapo fire kuna Moto.Mkuu usinikatishe tamaa, bado naendelea kuwasaka
Nikiwa mwenyewe haitakuwa na maana ya maandamano, hapa napishana na polisi tu na hawana time na mimi.[emoji1787]Huoni watu vipi, kwani wewe sio mtu?.
Wewe nimtupia mkuu, anzasafari mwenyewe.
Mbona wamefika huko upesi mnoWenzio wako minazi mirefu we uko mmoja
But nimethubutu na nimetimiza lengo langu, japo sijaona watu lakini at least nimetoka nyumbani kwa nia ya kuja kutetea Taifa langu.
Nenda Ilala boma wanakamata watu unaweza ukabahatikaBut nimethubutu na nimetimiza lengo langu, japo sijaona watu lakini at least nimetoka nyumbani kwa nia ya kuja kutetea Taifa langu.
Nipo njia panda ya kigogo hapa, muda si mrefu nafika boma
Mimi nipo hapa mnazi mmoja nawasubiri naona hawafiki , wamekwama wapi ndugu zetu ...Nimefika hapa Magomeni, sioni watu wala kikundi cha watu, mkowapi ndugu zangu waandamanaji niungane nanyi?
Mkuu sio kweli, kwanini uende huko na tulikubaliana tunaanzia Magomeni na IlalaMimi nipo hapa mnazi mmoja nawasubiri naona hawafiki , wamekwama wapi ndugu zetu ...
Mkuu sio kweli, kwanini uende huko na tulikubaliana tunaanzia Magomeni na Ilala
Ahahahahaha! Labda. Au labda kachukuliwa pamoja na Mbowe. Si unajua jamaa ni chawa wa kifa mtu wa Mbowe!?Au labda yupo njiani