Nipo Majuu huku, aisee watu weusi wa huku wana tabia za ajabu

 
 

Attachments

  • VID-20240903-WA0008.mp4
    1.7 MB
Kwa hiyo unashauri nini ?
 
Picha wapi?
 
Maisha yao ni ya hovyo sana hao watu.wanatuchukia waafrica wenzao tunaoishi africa as if sie ndo tuliwauza huko,wana wivu wa kijinga,makazi yao mara nyingi huwa ni mwendo wa misako ya police tu muda wote,wao na walatino ndio wanaongoza kwa kuwa na kiwango kikubwa cha uhalifu,ustaarabu wao ni zero kabisa.
 

Wenye shida wengi ni Gypsies, Waromania, Bulgarians, watu wa Poland wengi ni wachapa kazi sana. Ila wana mambo kama Afrika wanachukiana sana. Ila sio waharibifu sana, wapigaji kwenye benefits, takwimu unaweza kuzipata magereza, uhamiaji, mahakamani, council.

Hata weusi wengi middle and high class kutoka Africa wanafanya vizuri sana tu.
 
Rudi kwenu mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…