Nipo Majuu huku, aisee watu weusi wa huku wana tabia za ajabu

Kwahiyo Mkuu, weusi wa huko nao ni wazee wa kula tunda kimasihara ndio maana wanazaliana sana?!
 
Kweli watu hatujui thamani yetu kwenye hii dunia...

Kwahiyo kisa tu mtu amefanya kazi akachukua pesa then kapotea eneo la kazi ndio hana akili?

Au kisa tu mtu amezaa sana ndio hana akili? By the way kuzaliana ni utimilifu wa neno kwa wale wapenda maandiko.

Anyway, ila comments nyingi sana za kwenye huu uzi hasa zile za kumdharau mtu mweusi zimenisikitisha sana, mtu anakwambia wakati mungu anamuumba mtu mweusi alikua amechoka 😆😆😆... hampo serious nyie jamaa.
 
Mafanikio yao makubwa nasehemu kubwa ilio zingatia nihuyu mtu akijitambua nihatari hivyo kwanguvu zote lazima huyu awe chini ya mfumo apangiwe nakukabidhiwa kutekeleza tuu.
Huyu ndio awe mteja mkuu.
Nahapo ndipo shetani alipomgiga bao mungu... na kweli blacks wameingia kwenye mfumo na mfano mzuri kwenye huu uzi ukisoma comments nyingi utaona kwamba watu wengi bado wanawaona whites kama viumbe venye akili sana.
 
Mzee acha dharau.
So we black people are disposable?
 
Mkuu si kwamba wewe ndo umefikia mitaa iliyolaaniwa kweli?😫
 
Kwahiyo Mkuu, weusi wa huko nao ni wazee wa kula tunda kimasihara ndio maana wanazaliana sana?!
Sio tu kula tunda bali hata elimu ni duni kwa watu weusi
Watoto hawasomi sana wala kusimamiwa
Naona ni kwa ajili ya societies wanazoishi, wamejikusanya baadhi ya sehemu mpaka unadhani upo Africa kabisa
Unaona dhiki kabisa usoni mwao
Hata sokoni kama home tu 😄 mihogo kibao

Angalia takwimu hizi ni uhalisia wa blacks 🇬🇧
 
Wa kutoka Africa wanafanya vizuri kwenye ajira na crimes zao ni kama hakuna tu maana ni % ndogo sana
Ila kwenye elimu watoto hawasomi sana
 
Kuna mmoja alipangisha kijumba chetu marekani yeye na familia yake yani kulipa ni kwa tabu kama tupo mbagala ,kila siku anakuja na story wakati watu tuna mikopo ya kulipa hovyo kabisa ngozi nyeusi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…