Nipo Majuu huku, aisee watu weusi wa huku wana tabia za ajabu

Tuambie hizo sababu MTUMISHI

Au alimchungulia na kuona utupu wa Baba ake ?
Kosa halikuwa kumchungulia utupu .
Issue ni yale maneno ya urithi.
Alirithishwa utumwa.
Unajua ili uwe mtumwa lazima master wake akuzidi akili.
Hivyo lile neno liliharibu akili ya yule kijana na uzao wake mpaka mwisho wa Dunia
 
Kosa halikuwa kumchungulia utupu .
Issue ni yale maneno ya urithi.
Alirithishwa utumwa.
Unajua ili uwe mtumwa lazima master wake akuzidi akili.
Hivyo lile neno liliharibu akili ya yule kijana na uzao wake mpaka mwisho wa Dunia
Basi shughuli imeishia hapo sasa kwanini watu wakatae kuwa tupo chini yao? Angalia tu hata katika kustarabika tumezidiwa.
Kwahiyo tunarudi kule kule "Never outshine the master".
 
Kwahiyo chanika kabisa?
 
HAHAHAHAHHAAH eti hii rangi inashida sana!hahahah
 
Noma sanaπŸ˜†
 
Hawa ni shida. Wamejaa Finland. Wana ubaguzi hatari. Yaani wakikuona mtu mweusi ambaye sio msomali wanapita mbali kabisa
Watubague tu inaturahishia kukaa mbali na uchafu wao.

Hawa viumbe ni wachafu hakuna mfano
 
kituambacho umesahau ni kwamba hao unaowaona huko walitoka africa hao ni vijukuu na vitukuu wao,hawaza zaliwa na wazungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…