Nipo Mashakani, sidhani kama bado napendwa

Namba ashadelete, β€œThe sender is not in your contact list” naona ameanza kumove on taratibu....Ila nimegundua tatizo la jamaa kuchwa..Kwa mwendo huo ataachwa sana, labda ajirekebishe mocker
Tatizo ni lipi? mkuu ili niweze kujirekebisha Uko Mbeleni nitakapo amua tena kurudi kwenye Maswala ya mahusiano.
 
Hiki kipigo kwa kichina kinaitwa Tai Chi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ demu anakuacha kwa gia ya kuokoka!!!
 
Wewe haujawahi pewa mfinyo na kuchezewa hivo vi chuchu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Kwahiyo mwisho wako wa kusikia tu umewadia, mayowe utapiga wewe.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hii kaliii hebu ninywe maji kwanza nimezee!
 
Aendelee kumuangalia au afuate mambo yake
 
Daaah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…