Kaka hao hawako Mtwara, siku moja mimi niko shooters siku ya mwaka mpya eti nataka kutoa hela hamna vibanda vya Mpesa usiku saa7 ilinilazimu nitoke na boda 3k mpaka roundabout ya mnada wa mbuzi huku ndo nitoe hela maana haikuwa benki ilikuwa wenye simu. Yaani nilikuwa natukana njia nzima kudadeq Mtwara jau kinoma 😂Labda unisaidie mm naonekana muongo
Nway mm sio kaka mkuu...ila maisha ya ntwara jau sana🤣Kaka hao hawako Mtwara, siku moja mimi niko shooters siku ya mwaka mpya eti nataka kutoa hela hamna vibanda vya Mpesa usiku saa7 ilinilazimu nitoke na boda 3k mpaka roundabout ya mnada wa mbuzi huku ndo nitoe hela maana haikuwa benki ilikuwa wenye simu. Yaani nilikuwa natukana njia nzima kudadeq Mtwara jau kinoma 😂
Shida wengine wanapataje? Ukianza kujipikia utaona chakula sio shida shida pesa mzungo wa pesa mtwara sio mgumu kabisaHakuna sehemu nimesema chakula ni chakula ni shida! Elegant kiswahili njomba nchumari!
Hakuna mtu kasema huwezi kuishi mbona hata sisi tunaishi lakini tunasema ni tofauti na ile benchmark ya kawaida.Mbona wengine wanishi framewerk mlizonazo ndizo zina watesa
Sasa watu waache kulala waje kutoa hela zakoKaka hao hawako Mtwara, siku moja mimi niko shooters siku ya mwaka mpya eti nataka kutoa hela hamna vibanda vya Mpesa usiku saa7 ilinilazimu nitoke na boda 3k mpaka roundabout ya mnada wa mbuzi huku ndo nitoe hela maana haikuwa benki ilikuwa wenye simu. Yaani nilikuwa natukana njia nzima kudadeq Mtwara jau kinoma 😂
Sorry miss. Nimekutana tu na mada nikaanza kuchangia. Ila ukweli umeusema na nakuunga mkonoNway mm sio kaka mkuu...ila maisha ya ntwara jau sana🤣
Nenda home kwetu kabisa Masasi,hutatamani kuondokaKumbuka nipo mjini imagine kuna changamoto kama hizo
Sasa si umtaje tuu Dr V teh teh teh Landa yupo ligula HospitqlSawa ila ungefika mtwara 2007-2009 ungesemaje ambapo ulikuwa unasafir siku nzima na kipindi cha nyuma watu walikuwa wanalala njian kufika dar na usafiri mkubwa wa mtwara kwenda dar ilikuwa ni meri enzi hizo mlikuwepo?
Ndio maana nimekwambia kuhusu changamato hizo ni changamoto za tz dar hakuna sehemu maji ni ya shida?
Dar hakuna sehemu usafir wake ni washida? Ushawai kaa mpigi?
Fact yako ni kwamba unapenda starehe na unataka sehemu za kujimwaga umeelekezwa ila kusema pabaya uongo
Ungepangiwa wilaya za ndani uko newela tandaimba sawa ila hapo mjini uongo
Kwetu sio mtwara ila hapo manispaa ukimuulizia nafahamika sana au nikutajie na watu wake katibu wako wa afya najua upo hapo hospital ya likombe bila shaka
Usilaumu yalio tokea mtwara ujawai yasikia mkuu watu kukaa mpaka saa saba mtwara kwasasa uongoKaka hao hawako Mtwara, siku moja mimi niko shooters siku ya mwaka mpya eti nataka kutoa hela hamna vibanda vya Mpesa usiku saa7 ilinilazimu nitoke na boda 3k mpaka roundabout ya mnada wa mbuzi huku ndo nitoe hela maana haikuwa benki ilikuwa wenye simu. Yaani nilikuwa natukana njia nzima kudadeq Mtwara jau kinoma 😂
Huelewi kinachoongelewa hapa ni bora na wewe ukalale tuSasa watu waache kulala waje kutoa hela zako
Nikuunge kwenye fursa utengeneze pesa kila siku.Tangu nifike Mtwara miezi kadhaa iliyopita, mambo ninayokutana nayo sikuyategemea kabisa. Picha inaanza wakati nakuja kuripoti, ile nafika bus stand ya Mkanaredi naambiwa hapa ndiyo Manispaa ya Mikindani na ndiyo mjini.
Sikuamini! Mr. akanitia moyo na kuniambia nitazoea mazingira. Nikasema, "Sawa, maadam ni mjini, kitu cha msingi ni huduma."
Tukachukua lodge (na lodge zenyewe maji hayatoki, wanategemea maji ya mvua... yani ni tafrani tupu!). To cut a long story short, maisha ya Mtwara ni magumu kwenye nyanja zote! Maji ni shida, bei ya vitu iko juu sana kuliko hata Dar es Salaam, na miundombinu hafifu inafanya usafiri kuwa wa tabu.
Huduma za kifedha ni chache na ziko mbali, yani kulala au kushinda njaa ukiwa na hela mfukoni ni kitu cha kawaida sana hapa!
Ikifika saa 3 usiku, barabarani ni nyeupe kabisa—huoni mtu, na maduka yanafungwa mapema. Viwanja vipo, lakini The Shooters ndicho kiwanja pekee nilichoelewa, na nikiwa hapo najihisi kama niko Dar es Salaam.
Serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa!
Sawa lala tuHuelewi kinachoongelewa hapa ni bora na wewe ukalale tu
Ahahh nimefanya nao kazi vizuri sana pale manispaa mpaka sasa kipindi maruso yupo pale muhasibu mkuu alikuwa hana shida tofauti na huyu alie letwa sasa kajawa na kibriSasa si umtaje tuu Dr Victor teh teh teh Landa yupo ligula Hospitql
Hakuna mtu kasema huwezi kuishi mbona hata sisi tunaishi lakini tunasema ni tofauti na ile benchmark ya kawaida.
Mavi ni Hayo unayoyazungumza.. Sasa unalalamikaje wakati huna kipato Cha maana au unajijua una kipato kidogo.. Tafuta hela uache kunung'unika maisha mazuri Kila sehemu yapo.We jamaa, anaongelea maisha ya kawaida ya Mtanzania, we nae jau tu. Sasa unategemea labda mimi nina kipato cha laki3 kwa mwezi nifike sehemu nichukue lodge ya 50k per day. Una mavi 😂
Accept the situation wakat unaomba kazi ulisema upo tayari kufanya kazi sehemu yoyote so kusema ujazoea shida omba wakuamishe uende dodomaWe ushazoea shida kika kitu unaona sawa!