Nipo Mtwara, serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa. Nimepamiss Dar Es Salaam!

Kwahio umepangiwa mtwara ile interview ya o lever ulitoboa😹😹
 
Mikoa yote inafanana Tu kama Akili yako umeipanga izoee mazingira utaweza kuishi popote
Unataka uishi kama upo DAR hapo ni kujidanganya, TANZANIA bado Sana hasa Huko mikoani hata hiyo DAR nayo imechoka sanaa sioni utofauti na mikoani tu
Mkuu Dar ipo tofauti sana na mikoa yote ya Tanzania Mainland.
Tatizo la Nyamwi255 anataka mkoani apate maisha ya Dar.
Mwanza, Arusha, Unguja, Moshi, Mtwara, Shinyanga, na miji mingi iliyobaki kwa huduma fasta na za kisasa hadi usiku mwingi kote huko hazijafikia kiwango cha Dar.
Dodoma wanajaribu lakini bado kijijini tu.
Dar hadi vichochoroni kabisa nje ya mji (suburbs) usafiri, chakula, duka za dawa, na sehemu za starehe almost zinakesha.
 
Dar ni nyoko biashara 24 hrs watu hawalali hata uamke 9 usiku unapata chochote unachotaka hata bucha la nyama lipo wazi
 
Mikoa yote inafanana Tu kama Akili yako umeipanga izoee mazingira utaweza kuishi popote
Unataka uishi kama upo DAR hapo ni kujidanganya, TANZANIA bado Sana hasa Huko mikoani hata hiyo DAR nayo imechoka sanaa sioni utofauti na mikoani tu
Mkuu Dar ipo tofauti sana na mikoa yote ya Tanzania Mainland.
Tatizo la Nyamwi255 anataka mkoani apate maisha ya Dar.
Mwanza, Arusha, Unguja, Moshi, Mtwara, Shinyanga, na mikoa miji mingi kwa huduma fasta na za kisasa Hadi usiku mwingi kote huko hazijafikia kiwango Cha Dar.
Dodoma wanajaribu lakini bado kijijini tu.
 
Nataka nkiwa mkoani mjini yani manispaa nipate huduma kama za dar (na sio kama nataka ni ndo inavotakiwa)
Kama hapa nipo mjini manispaa kabisa hali iko hivi haya huko kijijini itakuwaje??
Hapo utakuwa umenielewa kama ww ni muelewa.
Viongozi huko wanajua kujenga misikiti tu 90% ya watu wa Mtwara ni watu wa upande ule wa FaizaFoxy na Malaria 2
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…