Nipo Mtwara, serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa. Nimepamiss Dar Es Salaam!

Mimi
binafsi sipakubali kwasababu ya joto ila somehow pazur msimbati kule beach ipo vzr
 
Maadam umewakuta wengine wanaishi, nawe uta-adopt tu!
 
Mikoa yote inafanana Tu kama Akili yako umeipanga izoee mazingira utaweza kuishi popote
Unataka uishi kama upo DAR hapo ni kujidanganya, TANZANIA bado Sana hasa Huko mikoani hata hiyo DAR nayo imechoka sanaa sioni utofauti na mikoani tu
Inategemea Dar sehemu gani, kuna sehemu Dar watu wanaishi kama wapo Beverly Hills.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…