Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kitu cha msingi ni huduma..Hii paragraph ukisoma Kwa wasi wasi unaweza potoka vibaya sana
Ushawahi fika simiyu?Kuna rafiki yangu kapangiwa huko! Anasema bora huku niliko! Yeye akienda mjini lazima alale magari hayageuzi siku hiyo hyo
Sio bure walinzi wa wazungu wengi walikuwa watu kutoka maeneo hayo. Hawakuwa na mchezo na wahalifu. Walioharibika, wameharibiwa na wengine.Inawezekana. Lakini kwa asili wenyeji wa kule ni watu poa. Wageni ndio wanawaharibia.
Amandla...
Mjini si ni pale stendi au kuna mji mwingineNoti za huko chakavu!!!
Niliendaga lindi, asee!!! Yaani noti ambayo hata konda wa daladala hapa dar ataikataa kule dukani eti inapokelewa, na chenchi unarudishiwa.
Miji ile sijui watu hawatembei, yaani hela zimechakaa maana yake mzunguko wa hela ni humo humo tu.
Yaani hata ukisimama katikati ya mji wa lindi, ukiamua kurusha jiwe kuelekea upande wowote litadondokea porini.
Yaani kamji kama kiberiti.
Wasukuma wameanza kuingia Lindi kwa wingi ni baada ya Operation ya kuwaondoa bonde la usangu 2006 wengi ni wale wenye makundi makubwa ya ng'ombe..ieo hata ukifika kuanzia ikwilriri, Muhoro hadi Somanga kumechangamka sabaau ya uwepo wa wasukuma wafugaji.. mimi huwezi kuniambia habari za kusini mke wa kwanza nimeolea Umakuani na mwingine nimeoa Mmakonde wa Masasi..na hapo Luangwa kuna Mdogo wangu anamiliki Y2K Pub na Mining Cruisher kule Migodini.. umasikini wa kusini naujua vrzuri mno..Mimi nimeshafika sana huko kanda ya ziwa yote na sio kila msukuma ana ng'ombe....njoo huku vijiji vya kilwa uone wasukuma tunavyowapa kula maua ya ufuta kwa bei ya 1000 kwa kilo hiyo yote ni kutokana na umaskini wao
Mmakonde wa masasi ššsijawahi kusikia wala kuona .... hebu tuje kwenye point haya tuanze umaskini wa watu wa kusini unaupimaje?Wasukuma wameanza kuingia Lindi kwa wingi ni baada ya Operation ya kuwaondoa bonde la usangu 2006 wengi ni wale wenye makundi makubwa ya ng'ombe..ieo hata ukifika kuanzia ikwilriri, Muhoro hadi Somanga kumechangamka sabaau ya uwepo wa wasukuma wafugaji.. mimi huwezi kuniambia habari za kusini mke wa kwanza nimeolea Umakuani na mwingine nimeoa Mmakonde wa Masasi..na hapo Luangwa kuna Mdogo wangu anamiliki Y2K Pub na Mining Cruisher kule Migodini.. umasikini wa kusini naujua vrzuri mno..
Mwaka gani ilikuwa! Mbona sija experience hicho kitu!.na niko ligula?Ila Mtwara mwanaume anaowa mke hata km ana watoto Sita. Yeye anapenda boga na uwa lake kwa hilo.wapo juuu sana wale watu.
Pia hospital asubuhi mnatembelewa na wale waliotoka swala ya Alfajiri. Wanakuja na uji na chai vitafunio maandazi/vitumbua. Na wale wasiokuwa na uwezo vyeti vinachukuliwa mnaletewa dawa.
Niliumwa nililazwa Ligula nilifarijika sana kwa ule ungwana wao aisee.
Kwa hayo chukueni mauwa yenu aiseee.
Ni wazo Zuri..ila mkuu vijana wa huku wana umwinyi sana! Hiyo boda inaweza hata isikuingizie hela kama ulivotarajia! Wanafanya kazi kwa kujiskiaSasa wewe fanya kununua boda boda umpe kijana wa hapo kwanza itakuwa inakuingizia pesa lakini wewe ndio boss kwa hivyo utakuwa umesolve tatizo la usafiri.
Uko sahihi kabisa,huo ni ugeni tu,iko siku anaweza hata kujikuta yuko katikati ya umati anacheza ngoma,na akiambiwa rudi Dar atagoma,hapo ukute keshapata na kiwanja,kafungua na kishop somewhere,kapewa na shamba atakuwa anajiona maisha kayapatiaa...Mimi naungana na shemeji kusema āutazoea tuā. Itakuchukua muda ila kuna siku utashangaa umeshapazoea kabisa.
ni mjinga tu loyal family gani anayetafuta bodaboda!!?, we uliskia wapi? we uliskia wapi?Utamuweza mtoa mada nahisi lengo ni kuonekana ni loyal family
Eti hajazoea shidani mjinga tu loyal family gani anayetafuta bodaboda!!?, we uliskia wapi? we uliskia wapi?