Nipo Mtwara, serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa. Nimepamiss Dar Es Salaam!

Nipo Mtwara, serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa. Nimepamiss Dar Es Salaam!

Tangu nifike Mtwara miezi kadhaa iliyopita, mambo ninayokutana nayo sikuyategemea kabisa. Picha inaanza wakati nakuja kuripoti, ile nafika bus stand ya Mkanaredi naambiwa hapa ndiyo Manispaa ya Mikindani na ndiyo mjini.

Sikuamini! Mr. akanitia moyo na kuniambia nitazoea mazingira. Nikasema, "Sawa, maadam ni mjini, kitu cha msingi ni huduma."


Tukachukua lodge (na lodge zenyewe maji hayatoki, wanategemea maji ya mvua... yani ni tafrani tupu!). To cut a long story short, maisha ya Mtwara ni magumu kwenye nyanja zote! Maji ni shida, bei ya vitu iko juu sana kuliko hata Dar es Salaam, na miundombinu hafifu inafanya usafiri kuwa wa tabu.

Huduma za kifedha ni chache na ziko mbali, yani kulala au kushinda njaa ukiwa na hela mfukoni ni kitu cha kawaida sana hapa!

Ikifika saa 3 usiku, barabarani ni nyeupe kabisa—huoni mtu, na maduka yanafungwa mapema. Viwanja vipo, lakini The Shooters ndicho kiwanja pekee nilichoelewa, na nikiwa hapo najihisi kama niko Dar es Salaam.

Serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa!
Safi sana mkipata ,nyie watu wa dat mkipata hizo tabu ndio Raha yangu.

Mara nyingi nimekuwa nazungumzia wajibu na ulazima wa Serikali kuweka uwiano wa maendeleo mikoani badala ya kujaza Kila kitu Dar.

Wakati huko hakuna miundombinu yeyote ya maana kulinganisha Wilaya na Wilaya Kwa kiwango kikubwa ,hapo Dar pekee wanajenga Barabara za mitaani km 250.
Screenshot_20250214-071242.jpg


Na ikumbukwe Hela zao za Bandari,Korosho na gesi zinaenda kujenga Dar,Arusha na Dodoma.

Kwa kuwa umeenda kikazi Sasa utakoma
 
Dogo, mbona unakuwa muongo hivi, ni Mtwara gani uliyoenda wewe?
Bahati nzuri kwa sasa huko mikoa ya Lindi na Mtwara wanakunywa mpaka chai ya maziwa baada ya Wasukuma kuingia na makundi makubwa ya ng'ombe, sasa hivi hawali tena ngozi ya ng'ombe bali wanakula nyama yenyewe..
 
Safi sana mkipata ,nyie watu wa dat mkipata hizo tabu ndio Raha yangu.

Mara nyingi nimekuwa nazungumzia wajibu na ulazima wa Serikali kuweka uwiano wa maendeleo mikoani badala ya kujaza Kila kitu Dar.

Wakati huko hakuna miundombinu yeyote ya maana kulinganisha Wilaya na Wilaya Kwa kiwango kikubwa ,hapo Dar pekee wanajenga Barabara za mitaani km 250.View attachment 3236016

Na ikumbukwe Hela zao za Bandari,Korosho na gesi zinaenda kujenga Dar,Arusha na Dodoma.

Kwa kuwa umeenda kikazi Sasa utakoma
Haha na ntakoma kweli
 
Dar unakotoa pesa kwa wakala saa 7 usiku ni wapi kwa huku mitaani?
Yaani watu wa Dar tunapenda kilishana ujinga sana!
Hata mimi nashangaa hiyo saa saba mitaani Dar es Salaam unapataje huduma ya laki saba na mawakala wa Dar keshi tiatia maji!
 
Yaani watu wa Dar tunapenda kilishana ujinga sana!
Hata mimi nashangaa hiyo saa saba mitaani Dar es Salaam unapataje huduma ya laki saba na mawakala wa Dar keshi tiatia maji!
Sio kulishana ujinga !binafsi nastaajabu mkoa kama huu kuwa na huduma mbovu hasa maeneo ya mjini ...ukilinganisha na mikoa mingine ,,maeneo ya mjinj huwa yamechangamka ...kwa dsm huwezi zijua sehemu kwa sababu hujawahi patwa na shida ya namna hiyo usiku..siku ukipatwa na shida ya nmana hiyo ndo utajua kuwa watu dar hawalali
Na siyo dsm hata hapo moro na na sehemu nyingine za mjini ambazo nimebahatika kufika,huduma za kifedha zinapatikana masaa yote
Mtwara huku pharmacy anafunga saa 12 amezidi sana saa 2 na hapo ni mjini
 
Huwezi zijua sehemu kwa sababu hujawahi patwa na shida ya namna hiyo usiku..siku ukipatwa na shida ya nmana hiyo ndo utajua kuwa watu dar hawalali
Na siyo dsm hata hapo more huduma za kifedha zinapatikana masaa yote
Mtwara huku pharmacy anafunga saa 12 amezidi sana saa 2 na hapo ni mjini
Dar Wanalala bhana acha maneno yako! Ni sehemu chache sana hata Sinza utazikuta ziko wazi usiku mzima!
Sema mnapenda kukuza mambo tu!
Nikuulize huduma gani ambayo ipo Dar peke ake tu usiikute mkoani kama Mtwara! Huyo mtoa mada ni mhuni tu na hana maana.
Mkoa kama Mwanza mimi sioni tofauti na Dar es Salaam lakini mnapenda kudanganya na kuuufanya mji huu uchafu na usio nampangilio kama Dubai!
 
Dar Wanalala bhana acha maneno yako! Ni sehemu chache sana hata Sinza utazikuta ziko wazi usiku mzima!
Sema mnapenda kukuza mambo tu!
Nikuulize huduma gani ambayo ipo Dar peke ake tu usiikute mkoani kama Mtwara! Huyo mtoa mada ni mhuni tu na hana maana.
Mkoa kama Mwanza mimi sioni tofauti na Dar es Salaam lakini mnapenda kudanganya na kuuufanya mji huu uchafu na usio nampangilio kama Dubai!
Huna akili ,ndo maana huelewi ..bye
 
S
Tangu nifike Mtwara miezi kadhaa iliyopita, mambo ninayokutana nayo sikuyategemea kabisa. Picha inaanza wakati nakuja kuripoti, ile nafika bus stand ya Mkanaredi naambiwa hapa ndiyo Manispaa ya Mikindani na ndiyo mjini.

Sikuamini! Mr. akanitia moyo na kuniambia nitazoea mazingira. Nikasema, "Sawa, maadam ni mjini, kitu cha msingi ni huduma."


Tukachukua lodge (na lodge zenyewe maji hayatoki, wanategemea maji ya mvua... yani ni tafrani tupu!). To cut a long story short, maisha ya Mtwara ni magumu kwenye nyanja zote! Maji ni shida, bei ya vitu iko juu sana kuliko hata Dar es Salaam, na miundombinu hafifu inafanya usafiri kuwa wa tabu.

Huduma za kifedha ni chache na ziko mbali, yani kulala au kushinda njaa ukiwa na hela mfukoni ni kitu cha kawaida sana hapa!

Ikifika saa 3 usiku, barabarani ni nyeupe kabisa—huoni mtu, na maduka yanafungwa mapema. Viwanja vipo, lakini The Shooters ndicho kiwanja pekee nilichoelewa, na nikiwa hapo najihisi kama niko Dar es Salaam.

Serikali ni kama imeususa kabisa huu mkosho

Tangu nifike Mtwara miezi kadhaa iliyopita, mambo ninayokutana nayo sikuyategemea kabisa. Picha inaanza wakati nakuja kuripoti, ile nafika bus stand ya Mkanaredi naambiwa hapa ndiyo Manispaa ya Mikindani na ndiyo mjini.

Sikuamini! Mr. akanitia moyo na kuniambia nitazoea mazingira. Nikasema, "Sawa, maadam ni mjini, kitu cha msingi ni huduma."


Tukachukua lodge (na lodge zenyewe maji hayatoki, wanategemea maji ya mvua... yani ni tafrani tupu!). To cut a long story short, maisha ya Mtwara ni magumu kwenye nyanja zote! Maji ni shida, bei ya vitu iko juu sana kuliko hata Dar es Salaam, na miundombinu hafifu inafanya usafiri kuwa wa tabu.

Huduma za kifedha ni chache na ziko mbali, yani kulala au kushinda njaa ukiwa na hela mfukoni ni kitu cha kawaida sana hapa!

Ikifika saa 3 usiku, barabarani ni nyeupe kabisa—huoni mtu, na maduka yanafungwa mapema. Viwanja vipo, lakini The Shooters ndicho kiwanja pekee nilichoelewa, na nikiwa hapo najihisi kama niko Dar es Salaam.

Serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa!
Shooters patamu haswaa ijumaa nitarudi tena hapo
 
2015 mkuu, Alafu mbele kule km unatokea Bima kwenda ile road ya uwanja wa nangwanda kuna sehemu wanauza maji ya nanda ndoo elfu 2000. Sijui kwa hivi sasa ila wale ndanda water walikuwa wanaleta maji kutoka huko ndanda na kutuuzia pale.
Uliza km bado huo utaratibu bado upo.
Bado upo, tena lately ni biashara ambayo ipo almost kila mtaa.
 
Kusema mtwara maji shida kwamba wanategemea maji ya mvuo ni uongo

Usafiri kusema shida uongo usafiri mkubwa wa mtwara ni bodaboda popote unapo enda ni buku up buku jero kwa usafiri wa haraka

Viwanja vipo vingi sana ujatembea kuna leopard pili msimbati ukienda utatamni kwenda kila siku

Chakula kuwa shida ni uongo sema huna hela ni kweli vitu viko juu sana ila pesa yake kuipata sio ngumu kama unajua kutafuta pesa ila kama unategemea mshahara mtwara hapakufai toka

Kusema saa tatu watu hamna ni kweli watu wa mtwara wanapenda kutulia sana hasa nyakati za usiku mwisho saa moja kutokana na alshababu kuvamia wanaotoka msumbiji ndio maana now mtwara ukitaka kutembea tembea na batua ya utambulisho wa mtaa wako ukikutwa na polis usiku unabebwa kama ulivyo unahisiwa wewe ni alshababu so watu wanakaa majumbani kwasababu
Ila waTanzania wengi wetu ni watu wa ajabu kweli kweli! Mtu anakupa experience yake. Bila mshipa wa aibu unasema ni muongo.

Kwa nini unaamini wewe ndo mkweli? Kwa nini. wasomaji wakuamini wewe? Na siyo mleta mada? Mhusika anakwambia kiwanja alichokielewa ni shooters. Wewe unampa viwanja standards zako..huku ukimwambia hana pesa! Aiseeee!
 
Ila waTanzania wengi wetu ni watu wa ajabu kweli kweli! Mtu anakupa experience yake. Bila mshipa wa aibu unasema ni muongo.

Kwa nini unaamini wewe ndo mkweli? Kwa nini. wasomaji wakuamini wewe? Na siyo mleta mada? Mhusika anakwambia kiwanja alichokielewa ni shooters. Wewe unampa viwanja standards zako..huku ukimwambia hana pesa! Aiseeee!
Hahaha! Wonders shall never end!
 
Back
Top Bottom