Nipo Mtwara, serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa. Nimepamiss Dar Es Salaam!

Nipo Mtwara, serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa. Nimepamiss Dar Es Salaam!

Panaitwa Jeshini, pamekuwa na jina kubwa kibiashara ila kwa uzuri wa mazingira ya beach, Makonde beach ndiyo pazuri.
Kule kwa wajeda hakuna fujo
Unaeza kumuona mtu ni wakawaida umekaa nae sehemu moja kumbe mjeda
Nilishuhidia akipigwa mtu makonde alitaka kuleta fujo..
Mchana hasa weekend watu wanakuwa wengi, ila usku panatulia sana
 
Huyu django mwamba sana 🤣🤣
Anatia Angry emoji kila comment 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom