Kigoma Region Tanzania
JF-Expert Member
- May 25, 2021
- 230
- 611
Mwidiwe Se Mwamba
WabhonyeYiwe museija Olinkai?
Kuna utofauti kati ya ubishi na Hoja, watu wa Kigoma sio wabishi bali ni watu wahoja na mijadala.Kwanini watu wa Kigoma wengiwao ni wabishi sana?
Panaitwa Kaparamsenga, ni kijiji kipo kata ya Sigunga Wilaya ya Uvinza Mkoani Kigoma.Hivi kuna sehemu inaitwa kiparamsenge iko wapi?
Asha Ibrahim (kati kati aliyevaa Crown) akiwa na washindi wenzake Judith Ernesh (kushoto) aliyeshika nafasi ya pili na Munde Nasibu (kulia) aliyeshika nafasi ya tatu.Aise! Em tupia hata pisi kali mbili tatu za kigoma tuzione..
Inaitwa kaparamsenga, iko kigoma kusini mwambao wa ziwa, pia kaparamsenga nyingine ipo mpandaHivi kuna sehemu inaitwa kiparamsenge iko wapi?
Tupe tofauti ya Ikola na Karema na pilikapilika zakeMwitongo hotel, Kigoma, Tanzania
View attachment 1988335
Karibuni Kigoma,
Mkoa wa Kigoma uko magharibi mwa. Umepakana na Burundi na Mkoa wa Kagera upande wa Kaskazini, mikoa ya Shinyanga na Tabora upande wa mashariki na Mkoa wa Rukwa upande wa kusini. Magharibi umepakana na Ziwa Tanganyika penye mpaka na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
View attachment 1988349
Uliza chochote kuhusu Kigoma, utajibiwa.
Kenya mkuuKigoma iko burundi au
Kigoma iko burundi au
Uchawi wa kujigeuza mamba unauzwaje?Mwitongo hotel, Kigoma, Tanzania
View attachment 1988335
Karibuni Kigoma,
Mkoa wa Kigoma uko magharibi mwa. Umepakana na Burundi na Mkoa wa Kagera upande wa Kaskazini, mikoa ya Shinyanga na Tabora upande wa mashariki na Mkoa wa Rukwa upande wa kusini. Magharibi umepakana na Ziwa Tanganyika penye mpaka na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
View attachment 1988349
Uliza chochote kuhusu Kigoma, utajibiwa.
Connection basi kwa ziadaAsha Ibrahim (kati kati aliyevaa Crown) akiwa na washindi wenzake Judith Ernesh (kushoto) aliyeshika nafasi ya pili na Munde Nasibu (kulia) aliyeshika nafasi ya tatu.
View attachment 1988393
Huyu anaitwa Ziada, toto la Kimanyema
View attachment 1988394