Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Kwanini watu wa Kigoma wanapenda Mambo ya asili!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana, Kigoma haipo Burundi, kutoka Kigoma hadi Burundi ni karibu km 230, usafiri wa gari unachukua karibu masaa manne.Kigoma iko burundi au
Ikola ni kata ya Wilaya ya Mpanda Vijijini Mkoani Katavi. Karema pia ni Kata nayo ipo mkoani KataviTupe tofauti ya Ikola na Karema na pilikapilika zake
Kalya ndiko wanalima sana mpunga ila kwa sasa bei ya Mchele ni sh 1000 - 1500/= kwa kilo hapa Kibirizi.Mambo VP?embu niambie hapo KIBIRIZI wanauzaje?Mchele pia bandari ya kibirizi imekamilika au imebaki kama mwenda zake alivyo iacha?
Furniture zinatengenezwa hapa hapa, na zipo zinazoagizwa Dar es salaam kupitia njia ya gari moshi. Kikawaida mizigo mingi ilikuwa inapitia Kigoma kisha ndio inasambazwa kwenda Congo na Burundi. Lakini kwasasa kuna Bandari ya Karema inavuka kwenda Congo na pia baadhi ya vitu Wacongomani wanakwenda kuchukulia Mkoani Mwanza, hivyo Kigoma imeuwawa kinamna yake.Ukiwa unataka vitu vya ndani kama furniture elctronics,,,kwa kigoma unachukulia wapi?
Uchawi wa watu wa Kigoma sio wa kumdhuru mtu, ni uchawi wa Kinga na kujilinda. Pia Kongo (Zaire) ndio chanzo cha dawa hizi. Kwa hapa Kigoma Makere-ushingo-wilaya ya Kibondo utaupata kwa Tsh Milioni 10 na kuendeleaUchawi wa kujigeuza mamba unauzwaje?
Wapo mitandaoni unaweza kuwatafuta hao.Connection basi kwa ziada
Vp chura ipo lkn
Ova
Kila watu wana asili yao, sijajua unaposema wanapenda mambo ya asili unamaanisha mambo gani ya asili wanayopenda.Kwanini watu wa kigoma wanapenda Mambo ya asili!
KataviKigoma haijapakana na Rukwa.
Mkoa wa Kigoma asilimia kubwa ni dini ya Kiisilamu, haswa kwa mijiniDini gani kwa asilimia kubwa imedominate Kigoma?!
Hali ya hewa iko safi sana kwa hapa kwetu Kigoma.Vipi hali ya hewa ukilinganisha na mkoa kama Dodoma?!
Waarabu wapo lakini sio wa bei chee, wako vizuri kifedhwaNasikia kuna mademu wa kiarabu wa Bei Chee
Je ni kweli kuwa wamanyema wakija Dar hujifanya wakongo na wakienda Kigoma hujifanya watu wa pwani? Je ni kweli kuwa Khalifa Hamis ni Mrundi anayetumia uislam kuishi Tanzania?Mwitongo hotel, Kigoma, Tanzania
View attachment 1988335
Karibuni Kigoma,
Mkoa wa Kigoma uko magharibi mwa. Umepakana na Burundi na Mkoa wa Kagera upande wa Kaskazini, mikoa ya Shinyanga na Tabora upande wa mashariki na Mkoa wa Rukwa upande wa kusini. Magharibi umepakana na Ziwa Tanganyika penye mpaka na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
View attachment 1988349
Uliza chochote kuhusu Kigoma, utajibiwa.
Ulinzi Kwa mil 10?.Uchawi wa watu wa Kigoma sio wa kumdhuru mtu, ni uchawi wa Kinga na kujilinda. Pia Kongo (Zaire) ndio chanzo cha dawa hizi. Kwa hapa Kigoma Makere-ushingo-wilaya ya Kibondo utaupata kwa Tsh Milioni 10 na kuendelea
Inasemekana ni kutokana na kima kikubwa cha maji ya ziwa Tanganyika, labda wataalamu wa mambo ya majira na hali ya hewa watajua zaidiNasikia Kigoma kipindi Cha mvua Kuna radi za hatari...ukiwa mgeni unaweza geuza kesho yake ulipotoka ni kweli?