Nipo mwambao wa Ziwa Tanganyika, uliza chochote kuhusu Kigoma utajibiwa

Nipo mwambao wa Ziwa Tanganyika, uliza chochote kuhusu Kigoma utajibiwa

Mwitongo hotel, Kigoma, Tanzania

View attachment 1988335

Karibuni Kigoma,
Mkoa wa Kigoma uko magharibi mwa. Umepakana na Burundi na Mkoa wa Kagera upande wa Kaskazini, mikoa ya Shinyanga na Tabora upande wa mashariki na Mkoa wa Rukwa upande wa kusini. Magharibi umepakana na Ziwa Tanganyika penye mpaka na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

View attachment 1988349

Uliza chochote kuhusu Kigoma, utajibiwa.
Siku zote nikisikia mkoa wa kigoma unatajwa picha iliyokuwa inajengeka kichwani mwangu ni ya hovyo sana, sikuwahi hata kuwaza kama kunaweza kuwa na maeneo mazuri na ya kuvutia kama picha inavyoonyesha!
 


Kigoma Ndiyo Dubai Ya Tanzania

Nswa Zikitoka Unachukua Kopo Unakaa Kwenye Kichuguu Mchana Kutwa
 
Mwitongo hotel, Kigoma, Tanzania

View attachment 1988335

Karibuni Kigoma,
Mkoa wa Kigoma uko magharibi mwa. Umepakana na Burundi na Mkoa wa Kagera upande wa Kaskazini, mikoa ya Shinyanga na Tabora upande wa mashariki na Mkoa wa Rukwa upande wa kusini. Magharibi umepakana na Ziwa Tanganyika penye mpaka na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

View attachment 1988349

Uliza chochote kuhusu Kigoma, utajibiwa.

Kuna fursa gani huko kama za kilimo, ufugaji, utalii, usafirishaji, biashara?
 
Mwitongo hotel, Kigoma, Tanzania

View attachment 1988335

Karibuni Kigoma,
Mkoa wa Kigoma uko magharibi mwa. Umepakana na Burundi na Mkoa wa Kagera upande wa Kaskazini, mikoa ya Shinyanga na Tabora upande wa mashariki na Mkoa wa Rukwa upande wa kusini. Magharibi umepakana na Ziwa Tanganyika penye mpaka na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

View attachment 1988349

Uliza chochote kuhusu Kigoma, utajibiwa.
Nafatuta enemy zuri lililotulia nataka kufanya investment farm house flani amazing
 
Naomba updates za Mkatanga A, Kwa Mrefu, Bangwe beach, Live band ya Wakongomani,
 
Kwa nini Waha wengi hawapendi kabila lao bali hujiita Wamanyema? Wabembe ni watu wa kutoka wapi? Kuna sehemu inaitwa Nguruka ilisifika kwa wizi, hali ikoje kwa sasa?
 
Back
Top Bottom