Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 9,679
- 39,087
Ila umenifanya nicheke sana, eti chapa bakora hii mbuzi😂😂Tandika bakora tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila umenifanya nicheke sana, eti chapa bakora hii mbuzi😂😂Tandika bakora tu.
😂😂😂hii kama hata wewe umeshindwa tumwachie Mungu tu.Duh ,kwa grammar hii,ni Mungu tu ndo anaweza okoa mtu huyo
Bei ni Elfu 5 kimoja.She is available, hata Leo nimeonana nae. Iv Bei ya vipimo ni ngapi aiseee madame
Mkapime naye wote ili iweje? Unataka kumuoa?Nimemshawish amekubali kasema twende Ijumaa
Nipo kwenyepepeMkapime naye wote ili iweje? Unataka kumuoa?
Ila hii nchi ina vijana wa ajabu sana na unaeza kuta mtoa mada si kijana ni mtu over 40 kabisa.
Yaani umchukue mtu ukapime naye HIV simply ujiridhishe kwamba hajakuambukiza kwani ulitombana naye kavu hivi karibuni.
Embu jali afya yako wewe mwenyewe kama kujipima kajipime mwenyewe na uchukue tahadhari manake inaonekana hujijali na una mawazo ya kitoto.
Sasa ukienda naye huko Kwenye vipimo mkipimwa ikionekana anao ndio utafanyaje sasa
Tayari mkuu nikeanza Leo satatu asubuhWahi pep
kuhakiki.Mkapime naye wote ili iweje? Unataka kumuoa?
Ila hii nchi ina vijana wa ajabu sana na unaeza kuta mtoa mada si kijana ni mtu over 40 kabisa.
Yaani umchukue mtu ukapime naye HIV simply ujiridhishe kwamba hajakuambukiza kwani ulitombana naye kavu hivi karibuni.
Embu jali afya yako wewe mwenyewe kama kujipima kajipime mwenyewe na uchukue tahadhari manake inaonekana hujijali na una mawazo ya kitoto.
Sasa ukienda naye huko Kwenye vipimo mkipimwa ikionekana anao ndio utafanyaje sasa
Vizuri umechukua hatua ila wabongo kwa kuwapa hiv wenzao hawajambo. Mimi kuna watu kibao toka mtoto wanasemekana wana HIV sasa nimekua mtu mzima nina hadi watoto wapo na afya tele.I'm stressed, issue ipo hivi juzi Christmas mida ya saa tatu usiku, Kuna mrembo aliingia room kwangu kama kawaida si mnajua ujana huu nikapiga show fresh mtoto akarudi kwako.
Sasa Jana mida ya jioni napata taarifa kuwa yule demu yupo kwenye dose ya Arv inshort she is HIV positive, nirivurugwa sana.
Leo asubuhi nimeamkia kituo Cha afya Nika waeleza scenerio nzima daktari kasema kuwa nipo within 72 of exposure kanipa madawa yanaitwa ltd kuwa yatazuis iyo HIV kama ipo..
But before kunipa nilipima nikawa negative.
I'm stressed sijui hizi siku 28 za dose zikiisha itakuwaje.
I'm stressed, issue ipo hivi juzi Christmas mida ya saa tatu usiku, Kuna mrembo aliingia room kwangu kama kawaida si mnajua ujana huu nikapiga show fresh mtoto akarudi kwako.
Sasa Jana mida ya jioni napata taarifa kuwa yule demu yupo kwenye dose ya Arv inshort she is HIV positive, nirivurugwa sana.
Leo asubuhi nimeamkia kituo Cha afya Nika waeleza scenerio nzima daktari kasema kuwa nipo within 72 of exposure kanipa madawa yanaitwa ltd kuwa yatazuis iyo HIV kama ipo..
But before kunipa nilipima nikawa negative.
I'm stressed sijui hizi siku 28 za dose zikiisha itakuwaje.
daaaahhhh..! we jamaa wewe [emoji23]R.I.P comred
ndo hivyo jamaa anaishi kwa matumaini saivi😥😥😥daaaahhhh..! we jamaa wewe [emoji23]
True, ni kisanga hizi PEP, nakumbuka sikumalizaga dozi nikasema liwalo na liwe. Nilikaa bila kupima miaka 3 watu wakiniambia nanenepa nasema afadhali itakuwa sikunasa mpaka dada mmoja aligoma kutumia kinga akataka tupime ndio ikabidi niende maana nilikuwa namuhusudu sana. Ila nilipima peke angu kwanza then nikaenda naeMy nigga, stress unayohisi unayo n cha mtoto compared to stress utakayopata ukianza kumeza PEP.
Nahisi hizo dawa ziliwekwa makusudi kukomesha uzembe kwenye ngono n.k.
Mapicha picha utakayoona kipimdi chote cha kumeza hizo vidonge, nakuapia utakua unavaa condom iliotengenezwa na kitambaa ya turubai.
Sikutishi, lakn bora nikwambie mapema tu.
R.I.P comred
Mkuu,Kuna vipimo vya kununua dukani ,unajipima .
Kama kijana pole Sana Ila usiwekeze kwenye ngono na pombe kiasi cha kupata madhara uwe unaishi mjini au kijijini Afya ndo mtaji namba moja ili kutimiza malengo yako.
Ikiwa utajikuta upo safe ,usi-entertain ngono katika maisha yako. Wala pombe .
Be smart
Embrace the cleanest lifestyle