monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,781
- 13,444
Noma sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mawazo ya nini saa? Mnaambiwa uasherati na uzinzi ni uchafu, mnajidai wajanja.I'm stressed, issue ipo hivi juzi Christmas mida ya saa tatu usiku, Kuna mrembo aliingia room kwangu kama kawaida si mnajua ujana huu nikapiga show fresh mtoto akarudi kwako.
Sasa Jana mida ya jioni napata taarifa kuwa yule demu yupo kwenye dose ya Arv inshort she is HIV positive, nirivurugwa sana.
Leo asubuhi nimeamkia kituo Cha afya Nika waeleza scenerio nzima daktari kasema kuwa nipo within 72 of exposure kanipa madawa yanaitwa ltd kuwa yatazuis iyo HIV kama ipo..
But before kunipa nilipima nikawa negative.
I'm stressed sijui hizi siku 28 za dose zikiisha itakuwaje.
Kuweka balance ndo nilichomaanisha maana kila kitu kikizidi kinaleta madhara katika mwiliMkuu,
Hapo kwenye pombe naomba ufafanuzi Dr. Hayaland
maana wengine unywaji wao ni for relaxation purposes
We jamaa muongo chance ya kuambukiza ipo pale pale.Wewe fuata tuu maelekezo ya ya Dokta zingatia vizuri hizo dozi za PEPMtafute mshawishi mkapime pamoja. Unaweza kuta hata hana VVU ila watu wa mtaani wazushi.
Ila usijali pia kama ni kweli anao na yupo kwenye dose chance ya kukuambukiza ni ndogo sana.
Mwisho kabisa uache zinaa na ukome kabisa.
Christmas isha anza kutoa majibu yake yaani mapema sanaI'm stressed, issue ipo hivi juzi Christmas mida ya saa tatu usiku, Kuna mrembo aliingia room kwangu kama kawaida si mnajua ujana huu nikapiga show fresh mtoto akarudi kwako.
Sasa Jana mida ya jioni napata taarifa kuwa yule demu yupo kwenye dose ya Arv inshort she is HIV positive, nirivurugwa sana.
Leo asubuhi nimeamkia kituo Cha afya Nika waeleza scenerio nzima daktari kasema kuwa nipo within 72 of exposure kanipa madawa yanaitwa ltd kuwa yatazuis iyo HIV kama ipo..
But before kunipa nilipima nikawa negative.
I'm stressed sijui hizi siku 28 za dose zikiisha itakuwaje.
Kuhakiki nini after? Uhakiki ulitakiwa ufanyike kabla .kuhakiki.
kuhakiki.
Kama kakubali huyo Hana ukimwiNimemshawish amekubali kasema twende Ijumaa
Umelewa nyapuMimi hyo ishanitokea kama mara tatu kwanza huwa maneno ya watu hayanisumbuagi