Nipo na uhitaji wa ajira ya usalama wa nchi, nina vigezo hivi

Hongera Sana

Cha kukushauri

Tumia mitandao vizuri Jamiiforum kuna watu narudia tena kuna watu

Naongea kwa uzoefu.

Sehemu unafatilia na Mimi nilikuwa Kama wewe.

Zama hizi sehemu ambayo unabidi kuitumia vizuri ni katika social networks ni rahisi kukutana na destiny helper

JF kuna watu amini kwamba.

All the best .
 
Wewe kama ulishapata si umkonect mwezio?ualimu ulishaacha?
 
Wako wapi kina Nikifa MkeWangu Asiolewe au? Na waze3 wa hovyo wanaoukula ulanzi asubuhi asubuhi kina MENEMENE TEKERI NA PERESI
 
Mtoa mada wanakuja huko pm ila ukumbuke wao wemyewe wana ndugu zao huku mitaani. Madem zao na mashemej zao majobless
 
Mimi sio mjuzi sana wa hii kada Ila jitahidi sifa hizi unazo orodhesha ndio hizo hizo watu wako wa karibu wanaweza kuzisema kuhusu wewe.

Jitahidi watu wako wa karibu wajue taarifa zako muhimu kuhusu wewe, marafiki zako waweze kusema mazuri kuhusu wewe, marafiki wa wazazi wako waweze kutoa taarifa sahahi kuhusu wewe.

maana itatokea huenda mathalani wamependa ujasiri wako Ila taarifa zako zikawa na mkanganyiko au watu wako wa karibu wakaleta ushirikiano hafifu na taarifa zisizo endana ukakosha kazi unayo ipenda.
 
Wewe kama ulishapata si umkonect mwezio?ualimu ulishaacha?


Ualimu ni wito siwezi kuacha kufundisha na kutoa ELIMU

Naweza nisiwe darasani Ila hapa jukwaani huwa na-share maarifa yangu kwa kias chake katika social networks zangu nyingine.

Kuhusu kumpa connection kijana mkuu Mimi hiyo sehemu sina MTU namjua

Ila jambo ambalo naweza kumwambia JF ni sehemu sahihi ya kukutana na destiny helper

Aendelee kuwa positive tu

Maana watu wengi anaangalia tu jinsi unavyojielezea na kukufata PM Ila wazee wa kukomenti huwa Mara nyingi ni negative people

So kijana aendelee kupambana atafanikiwa..
 
Kama usalama kukuchukua mpaka waulize kwa watu kuhusu tabia zako basi acha inchi ipigwe mnada
 
Sawa mwalimu,nimekuelewa vyema.
 
Ah wapi mkuu.. dunia vitu vingine vya wachache tujitahid kuambiana na kuukubali ukweli. Jf majobles kibao hum na rais wao ni mm. Kwa nn mtoa mada asishikilie hapohapo alipo afanye maisha mengine?. Hii kaz hata mm niliipenda sana kuna kipindi nilisoma sana vitabu vya espionage.. nikaona kuna haja y kuish maisha halis niachane na maisha ya expectations
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…