Nipo na uhitaji wa ajira ya usalama wa nchi, nina vigezo hivi

Nipo na uhitaji wa ajira ya usalama wa nchi, nina vigezo hivi

Mpaka hapo umeshafeli

1.kwanza unatumia jina lako halisi

2..kama sivyo sawa..ila duniani hapa hakunaga uzalendo unaouwaza wewe watu wako after posho hata humo katika maofisi ya usalama iko hivo hakuna cha uwezo binafsi wala akili watu wako busy kuandika madokezo wapate hela.

3..kazi fulani ya kifala sana kwani we unapenda kuwa uchawa na kuwa mmbeya


4..achana na hizi isbu acha mashifo tafuta HELA kwa njia nyingine..



Asante mkuu .

I receive (nimepokea)

Ila tuendelee Ku-chase dreams

Lengo sio kufanya umbea Ila lengo ni kushare uwezo wangu na kuisadia nchi in positive way .
 
Mpaka hapo umeshafeli

1.kwanza unatumia jina lako halisi

2..kama sivyo sawa..ila duniani hapa hakunaga uzalendo unaouwaza wewe watu wako after posho hata humo katika maofisi ya usalama iko hivo hakuna cha uwezo binafsi wala akili watu wako busy kuandika madokezo wapate hela.

3..kazi fulani ya kifala sana kwani we unapenda kuwa uchawa na kuwa mmbeya


4..achana na hizi isbu acha mashifo tafuta HELA kwa njia nyingine..
1.una uhakika ni jina lake halisi
 
Sawa kabisa,basi kumbe kijana atapata tu,tofauti na stori tunazosikia za upatikanaji wa hiyo kazi
Bosi kuna mali hapa zinasukumwa. Lete tenda tukushonee. Mauniform ya kila aina. Nikisema kila sehem nipo uamini. Tuko export huku karakata Road.
 

Attachments

  • 20240625_153909.jpg
    20240625_153909.jpg
    744 KB · Views: 9
Kuhusu ELIMU nimesoma hadi shahada Ila Mimi naamini katika uwezo binafsi wa kujijenga


Pia Mimi naamini katika falsafa ya kuendelea kuwa mwanafunzi kila siku ndo njia yakuendelea kuwa bora.
Kaongee na Padre wa kanisa lako wenzio hua wanapitia huko kwenda aidha seminari au huko naniu eeh ushaelewa fanya hivyo
 
Back
Top Bottom