Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Hua wanachukulia mambo in a very simple way....🤣🤣😅😅😅vijana bwana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hua wanachukulia mambo in a very simple way....🤣🤣😅😅😅vijana bwana
Mpaka hapo umeshafeli
1.kwanza unatumia jina lako halisi
2..kama sivyo sawa..ila duniani hapa hakunaga uzalendo unaouwaza wewe watu wako after posho hata humo katika maofisi ya usalama iko hivo hakuna cha uwezo binafsi wala akili watu wako busy kuandika madokezo wapate hela.
3..kazi fulani ya kifala sana kwani we unapenda kuwa uchawa na kuwa mmbeya
4..achana na hizi isbu acha mashifo tafuta HELA kwa njia nyingine..
1.una uhakika ni jina lake halisiMpaka hapo umeshafeli
1.kwanza unatumia jina lako halisi
2..kama sivyo sawa..ila duniani hapa hakunaga uzalendo unaouwaza wewe watu wako after posho hata humo katika maofisi ya usalama iko hivo hakuna cha uwezo binafsi wala akili watu wako busy kuandika madokezo wapate hela.
3..kazi fulani ya kifala sana kwani we unapenda kuwa uchawa na kuwa mmbeya
4..achana na hizi isbu acha mashifo tafuta HELA kwa njia nyingine..
Mmmh,wakikua wataeilewa tu Tanzania yetu😅😅😅.......Team haijambo lkn?Hua wanachukulia mambo in a very simple way....🤣🤣
Sawa tunamwachaaaaaMtu hu
Fanya kile anachopenda mwacheeni
Bosi kuna mali hapa zinasukumwa. Lete tenda tukushonee. Mauniform ya kila aina. Nikisema kila sehem nipo uamini. Tuko export huku karakata Road.Sawa kabisa,basi kumbe kijana atapata tu,tofauti na stori tunazosikia za upatikanaji wa hiyo kazi
Nakupa siku mbili unipeleleze uje na taarifa zanguKuhusu ELIMU nimesoma hadi shahada Ila Mimi naamini katika uwezo binafsi wa kujijenga
Pia Mimi naamini katika falsafa ya kuendelea kuwa mwanafunzi kila siku ndo njia yakuendelea kuwa bora.
Amtangulize mungu tu. Binadama watamsumbuaSawa kabisa,basi kumbe kijana atapata tu,tofauti na stori tunazosikia za upatikanaji wa hiyo kazi
Umepata nini ?Mbona mim nimepata ila sisemi, lakin sikuomba na sikuwa na konekshen wala nn
20s ndio kitu gani huna akili wewe hufai20s ur welcome
Huwenda mkurugenzi wa tss yupo akavutiwa na kijana akabebwaSawa tunamwachaaaaa
Asante 🙏🏽🙏🏽🙏🏽20s ndio kitu gani huna akili wewe hufai
Unaulizwa umri unajibu 20s hopeless kabisa mleta mada
Sasa hiv unapiga mishe gan mzee?Nawashukuru Sana kwa mawazo yenu
either positive or negative
Tuendelee kupambana penye nia pana njia .
Kaongee na Padre wa kanisa lako wenzio hua wanapitia huko kwenda aidha seminari au huko naniu eeh ushaelewa fanya hivyoKuhusu ELIMU nimesoma hadi shahada Ila Mimi naamini katika uwezo binafsi wa kujijenga
Pia Mimi naamini katika falsafa ya kuendelea kuwa mwanafunzi kila siku ndo njia yakuendelea kuwa bora.