Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kwakumshushua uk🤣🤣🤣Sijui hata nacheka ninj
Elimu yako...Wakuu ninahitaji Sana kuwa usalama wa Taifa.
I hold this qualifications
Mimi ni very humble na Mkimya na nina uwezo wa kutunza siri Sana.
Nina uwezo wa kufanya intelijensia kujua huyu MTU ni mzuri au Mbaya
Nipo visionary - nina upeo mkubwa na maono wa kupangilia mambo yajayo kuhusu nchi na raia wake.
Sina EGO - kujikweza nina heshimu kila MTU na kuweza kuishi na WATU vizuri sio rahisi mtu anifahamu kiundani.
Najua hapa jukwaani kuna viongozi wakubwa naimani watanishika mkono ili nikatumie hazina yangu katika kuisaidia nchi yangu TANZANIA
Shahada ya elimuElimu yako...
Miaka ile ajira si zlimwagwa kama njegere. Kipindi hiki tofaut San yani nafas zinazod kuwa chache sabab ya ongezeko la watuNi sahihi kabisa mkuu.
Hii ilikuwa inaapply sana miaka hiyo, hata kipindi cha Jakaya wamechukuliwa wengi wengi kwa style hiyo.
Mtu unaifahamu kabisa background yake, hana "Baba kanituma"
Ahaha ety kama njegereMiaka ile ajira si zlimwagwa kama njegere. Kipindi hiki tofaut San yani nafas zinazod kuwa chache sabab ya ongezeko la watu
Nasikitika kuona kuwa nadharaulika sababu ya starehe yangu ya ulanzi Ila ninachofurahia nimekulia kwa hao watu wa system na itoshe kusema nimeishi nao na bado naishi nao hivyo haka kajamaa kanitafute kikubwa kaje na hela ya ulanzi ,Mimi nakapa namba ya kitengo mmoja habari za kujieleza ni juu yake na namba kapata wapi hayanihusuWako wapi kina Nikifa MkeWangu Asiolewe au? Na waze3 wa hovyo wanaoukula ulanzi asubuhi asubuhi kina MENEMENE TEKERI NA PERESI
Nasikitika kuona kuwa nadharaulika sababu ya starehe yangu ya ulanzi Ila ninachofurahia nimekulia kwa hao watu wa system na itoshe kusema nimeishi nao na bado naishi nao hivyo haka kajamaa kanitafute kikubwa kaje na hela ya ulanzi ,Mimi nakapa namba ya kitengo mmoja habari za kujieleza ni juu yake na namba kapata wapi hayanihusuWako wapi kina Nikifa MkeWangu Asiolewe au? Na waze3 wa hovyo wanaoukula ulanzi asubuhi asubuhi kina MENEMENE TEKERI NA PERESI
Ndugu msaikolojia naomba unisaidie kutuliza moyo wangu ,huyu kijana jobless ndugu Kalaga Baho Nongwa amenitendea kosa Mimi na ulanzi wangu asijue niko Mikumi nakuja anipeleke kununua sahani za mifupa Ila mpaka hapo wacha nirudi kijijini huyu atautweza utu wangu siku nzima.Shape ur perception
Dunia na maisha kijumla MTU huwa anatazama MTU sahihi na sio yule anayempenda.
Linapokuja swala la fursa watu huwa wanaangalia mambo mengi Sana.
Unaweza kupata fursa kupitia MTU ambaye hamna hata undugu wowote.
So it is better to be positive , destiny helpers wapo sehemu yoyote
Don't underrate the power of social networks
@joannI missed you!😅😅😅vijana bwana
Kitendo cha kutangaza kuiomba hiyo kazi, umeikosa. Pili umetangaza ina maana fridge lako haligandishi. Ungefanya kwa chinichini sana. Una connection?????
🤣🤣🤣Ndugu msaikolojia naomba unisaidie kutuliza moyo wangu ,huyu kijana jobless ndugu Kalaga Baho Nongwa amenitendea kosa Mimi na ulanzi wangu asijue niko Mikumi nakuja anipeleke kununua sahani za mifupa Ila mpaka hapo wacha nirudi kijijini huyu atautweza utu wangu siku nzima.
Mtoa mada sema na watu! Wenyewe hawa hapaNasikitika kuona kuwa nadharaulika sababu ya starehe yangu ya ulanzi Ila ninachofurahia nimekulia kwa hao watu wa system na itoshe kusema nimeishi nao na bado naishi nao hivyo haka kajamaa kanitafute kikubwa kaje na hela ya ulanzi ,Mimi nakapa namba ya kitengo mmoja habari za kujieleza ni juu yake na namba kapata wapi hayanihusu
Hela hela hela tena ya ulanzi bila hivyo mwambie aniache niendelee kujaza PEMPISMtoa mada sema na watu! Wenyewe hawa hapa
Ulanzi utkuua mkuu! Ushauri tu.. umekuwa na sura iliyokomaa kama unyayo... wakait unapiga funda tu so wenyew unakakamaa huko tumboni kutakuwajeHela hela hela tena ya ulanzi bila hivyo mwambie aniache niendelee kujaza PEMPIS
Nenda kajiangalie kwenye kioo alafu zungumza hayo maneno mbele ya Yule unayemuona kwenye kioo.Wakuu ninahitaji Sana kuwa usalama wa Taifa.
I hold this qualifications.
Mimi ni very humble na Mkimya na nina uwezo wa kutunza siri Sana.
Nina uwezo wa kufanya intelijensia kujua huyu MTU ni mzuri au Mbaya.
Nipo visionary - nina upeo mkubwa na maono wa kupangilia mambo yajayo kuhusu nchi na raia wake.
Sina EGO - kujikweza nina heshimu kila MTU na kuweza kuishi na WATU vizuri sio rahisi mtu anifahamu kiundani.
Najua hapa jukwaani kuna viongozi wakubwa naimani watanishika mkono ili nikatumie hazina yangu katika kuisaidia nchi yangu TANZANIA