Nipo naelekea mahakamani kwenda kutoa ushahidi, kipi cha kuzingatia?

Nipo naelekea mahakamani kwenda kutoa ushahidi, kipi cha kuzingatia?

Wanasheria na wazoefu ambao mmewahi fika mahakamani, nimepigiwa simu na mwanasheria wa Serikali niende nikatoe ushahidi.

Kuna tukio lilitokea na mimi ni mmoja kati ya walioshuhudia.

Kipi cha kuzingatia wakati wa kutoa ushahidi.

NB: Nilishatoa maelezo polisi ila leo ndio siku ya kutoa ushahidi mahakamani.
Si uliandika maelezo polisi. Mwanasheria wa serekali atakukumbusha usihof...muhimu usitie chunvi ongea kile ulichokitolea maelezo polisi
 
tunaomjua zero tunacheka tuu badala ya kushauri
[emoji16][emoji16][emoji16] Ata hivyo nimeshatoka kumkaanga mchataji asiye jua mipaka ya kuchakata,
Utatakaje kuchakata mpaka watoto under 11 kweli si ni ujinga huo
 
Mahakamani hawajawahi kuyawekea mkazo maelezo ya kutoka polisi kwasababu polisi wetu wanafahamika huwa wanauliza maswali wakati huo wana majibu yao ambayo utake usitake watayaandika.
Kwamba unaulizwa kama Umeiba au hujaiba.. Na wakt huo wamekubana Makende na Praizi
 
Back
Top Bottom